ruto must go

William Ruto became President of Kenya on 13 September 2022 following the 2022 Kenyan general election. While, William Ruto travelled extensively for official business as Deputy President of Kenya, the following is a list of international presidential trips made by William Ruto since assuming office.

View More On Wikipedia.org
  1. Rigathi Gachagua: Rais Ruto alinipa Ksh Bilioni 2 ili nijiuzulu. Aliniambia naweza kugombea Urais mwaka 2027

    Wakuu, Akizungumza hivi karibuni kwenye mahojiano, aliyekuwa makamu wa Raiswa Kenya, Rigathi Gachagua amesema kuwa alishapewa Ksh Bilioni 2 na Rais Ruto ili ajiuzulu nafasi yake ya Umakamu. "Ruto aliniomba nijiuzulu, na kuniahidi KSh2 bilioni. Aliniahidi na ulinzi wa kutosha na marupurupu...
  2. Wakenya Wakinukisha tena, Waimba "RUTO MUST GO" Katika Kituo cha Bomas ya Kenya katika Sakata la Kufukuzwa kwa Naibu Rais Rigathi Gachagua

    Wakenya walikusanyika kwa wingi na kuanza kuimba kwa nguvu "RUTO MUST GO." Mkutano huo ulilenga kujadili kufukuzwa kwa Naibu Rais Rigathi Gachagua, na umeshuhudia wananchi wakionesha hasira na kutoridhishwa na uongozi wa sasa. Cheche kali za kisiasa na wakati mwingine vurugu zilishuhudiwa huku...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…