India–Rwanda relations are the foreign relations between the Republic of India and the Republic of Rwanda. India is represented in Rwanda through its High Commission in Kigali which opened on 15 August 2018. Rwanda has been operating its High Commission in New Delhi since 1999 and appointed its first resident High Commissioner in 2001.
Nilikuwa sina taarifa uwepo wa Jukwaa hili Rwanda !
Nimeliona hivi punde!.
Watu mnasiri sana😍!
Ila changamoto naiona Wavhngijai wa Lugha ya Kinyatwanda ni Wachacje sana!
Japo ndiyo hivyo thread zao zimejaa! Bila shaka ntapata Penpal humu!
Picha: Rais wa Rwanda, Paul Kagame
Rais wa Rwanda, Paul Kagame amefanya mabadiliko hayo makubwa pasipo kuweka kwa sababu ya kuchukua maamuzi hayo yaliyohusisha Mkuu wa Jeshi na Waziri wa Ulinzi kufutwa kazi kwa wakati mmoja.
Amemteua Juvénal Marizamunda kuwa Waziri wa Ulinzi akichukua nafasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.