Katika kikao kilichokaa jana tarehe 21.2.2025 na kilichojadili madhira na matatizo ya vita nchini DRC, umoja wa Ulaya umethibitisha rasmi kwamba vikosi vya Jeshi la Rwanda vinawasaidia wanamgambo wa M23 kufanya utekaji na mauaji nchi DRC hali inayopelekea kukosa utulivu katika eneo zima la...
Tumezeeka kwenye vita
Tumezaa Watoto kwenye vita
Maisha yetu ni tabu tupu Kila siku kutanga Tanga
Hatuogopi kifo Kwa sababu bila Nchi hakuna maisha.
https://x.com/PolycarpMDM/status/1884236594225504315?t=Mmhl4wkXi0f7tnDfNiNRFw&s=19
My Take
M23 & DRC Wake chini wamalize tofauti zao,mipaka na...
Amani iwe kwenu watu wa MUNGU
Huko kinshansa kimenuka
Ubalozi wa Uganda na Ufaransa wachomwa moto na vijana wenye hasira kali
Wanalilaumu JESHI lao kuiacha Goma mikononi mwa M23
LONDON BOY
Mara ya kwanza ilikuwa ni Rwanda ndio inashitumiwa ila Sasa kumbe Hadi Uganda inasaidia ndugu zao wa Kitusi walioko Mashariki ya DRC.
---
Uganda ilitoa msaada kwa waasi wa M23 nchini Congo
Jeshi la Uganda limetoa msaada kwa waasi waM23 wanaoendesha harakati zao mashariki mwa Jamhuri ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.