rwanda yafunga makanisa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Rwanda yafunga Parokia 47 za Kanisa Katoliki

    Serikali ya Rwanda imezifunga Parokia 47 za Kanisa Katoliki kwa madai ya kukiuka kanuni na sheria za nchi hiyo. Kwa mujibu wa ripoti ambayo imetolewa na Maaskofu wa Kanisa Katoliki, inasema kuwa suala la uhuru wa kuabudu limekuwa changamoto kubwa nchini Rwanda. Ripoti hiyo inasema kuwa kati ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…