saa 24

Adolfo Rodríguez Saá (Spanish pronunciation: [aˈðolfo roˈðɾiɣes saˈa] ; born 25 July 1947) is an Argentine Peronist politician. Born in a family that was highly influential in the history of the San Luis Province, he became the province's governor in 1983, after the end of the National Reorganization Process military dictatorship. He remained governor up to 2001, being re-elected in successive elections.
President Fernando de la Rúa resigned in that year, amid the December 2001 riots, and the Congress elected Rodríguez Saá as the president of Argentina. In response to the 1998–2002 Argentine great depression, he declared the highest sovereign default in history and resigned days later amid civil unrest.
The Congress elected a new president, Eduardo Duhalde, in order to complete the term of office of de la Rúa (but Duhalde failed to do so, and eventually that term was completed by Néstor Kirchner, instead). Rodríguez Saá ran for President subsequently in the 2003 and 2015 presidential elections, but he was not successful.

View More On Wikipedia.org
  1. Matteo Vargas

    Putin aliahidi kuikamata Ukraine ndani ya saa 48 na Trump aliahidi kumaliza vita hiyo ndani ya saa 24. What went wrong?

    Viongozi hao majabali walitoa kauli hizo wakiwa wanajiamini sana. Lakini pia najiuliza kauli hizo walizitoa kwa back up ya intelijensia zao au kwa minajili ya umaarufu tu wa kisiasa? Je tunapaswa kuendelea kuwaamini na kauli zao nyingine katika kutafuta amani huko Ulaya na viunga vya Gaza...
  2. D

    Mabasi ya kutoka Dar hadi Masasi, nayo yapo kwa saa 24?

    Naomba kujuzwa iwapo mabasi ya kutoka Dar kwenda Masasi yapo nyakati zote usiku na mchana. Iwapo hayapo nyakati zote, naomba kujuzwa ratiba zake.
  3. Waufukweni

    Kariakoo yote sasa kufungwa kamera ili kudhibiti uhalifu na kuwezesha biashara kufanyika kwa saa 24

    Sasa ni rasmi serikali inakusudia kufunga kamera za ulinzi (CCTV), katika eneo la Kariakoo, jijini Dar es Salaam, ili kudhibiti uhalifu na kuwezesha biashara kufanyika kwa saa 24. Mkurugenzi wa Jiji la Ilala, juzi alitoa taarifa ya kumtafuta mzabuni akayetekeleza kazi hiyo na jana ilikuwa ni...
  4. L

    Kwanini Maduka yaliyopo Mlimani City Mall hayafanyi kazi saa 24?

    Wakuu naomba mnisadie kwa nini Mall kubwa kama Mlimani City haifanyi kazi saa 24?
  5. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Ndaisaba Ruhoro Ataka Vituo vya Forodha Kufanya Kazi saa 24, Ngara

    Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb), amemshauri Mbunge wa Ngara, Mhe. Ndaisaba George Ruhoro kushirikiana na Mamlaka husika ili kuangalia uwezekano wa ujenzi wa Kituo cha Forodha cha Mugoma, mkoani Kagera baada ya kujiridhisha pasipo shaka iwapo eneo hilo linafaa kwa ujenzi wa Kituo...
Back
Top Bottom