Saba (; Dutch pronunciation: [ˈsaːbaː]) is a Caribbean island which is the smallest special municipality (officially “public body”) of the Netherlands. It consists largely of the potentially active volcano Mount Scenery, which at 887 metres (2,910 ft) is the highest point of the entire Kingdom of the Netherlands. The island lies in the northern Leeward Islands portion of the West Indies, southeast of the Virgin Islands. Together with Bonaire and Sint Eustatius it forms the BES islands.
Saba has a land area of 13 square kilometres (5.0 sq mi). The population was 1,933 as of January 2020, with a population density of 148 inhabitants per square kilometre (380/sq mi). It is the smallest territory by permanent population in the Americas. Its towns and major settlements are The Bottom (the capital), Windwardside, Zion's Hill and St. Johns.
Mboga saba.
Verse 1 – Mr Blue
Mboga saba umeniteka, makahaba nawacheka
Kwenye mkataba nakuweka, kwenye mahaba nakuweka
Napiga ibada usije lala kwenye mkeka
Aah kama vumba likikataa
Aah ndumba halitovaa
Bila nyumba chumba kimoja utakaa?
Nguo za mitumba nauliza mchumba utavaa? (Yeah)
Yeah...
Watu wa Darasa la saba ni watu hatari, wanaishi kwa mazoea na sio kutumia akili.
Unampa hela leo ili afanye matumizi anaenda kununua kiatu then kesho anakuambia hana hela ya kula.
Mtu mmoja mwenye hekima na busara aliwahi kusema " You can know the artist by studying his art"
Unaweza kumjua msanii kwa kuisoma sanaa yake...
Babu zetu walimuabudu na kumsujudu Mungu baada ya ku study kazi ya mikono yake.
Walipotazama, jua, mwezi, nyota etc , walipo jitazama wao wenyewe...
Ndio umeshinda urais wa awamu ya saba. Ni vitu gani vi-5 utaviondoa au kuvifanyia reformation ili utendaji wako na maendeleo ya wananchi viwe thabiti.
Karibuni wakuu.
Jicho la tatu ni chakra ya sita kati ya chakra saba katika mwili wa binadamu
Ukiweza kufika kituo hiki cha Nishati basi utakuwa na uwezo mkubwa wa kiroho na kupata maono na utambuzi wa mambo mbalimbali
Kujifunza zaidi namna ya kufungua vituo hivi vya Nishati basi kalibu sana.
Wanafunzi wa Kidato Cha Tatu Shule ya Sekondari Businda Wilayani Bukombe Mkoani Geita, wamepoteza maisha katika msiba, huku wengine 82 wakijeruhiwa baada ya kupigwa na radi wakiwa Masomoni
Mkuu wa Wilaya ya Bukombe, Paskas Muragili amethibitisha kutokea kwa tukio hilo lililotokea leo Jumatatu...
Miaka zaidi ya elfu 2 imepita sasa toka gharika iukumbe Ulimwengu..
Nuhu alitengeneza Safina, Chombo kilichobeba Viumbe hai, jinsia ke na me zaidi ya milioni saba
mpaka sasa hakuna Mwanadamu anayeweza kutengeneza Kifaa kama Safina ya Nuhu.. Hayupo!
Hakuna meli, boti wala jahazi lenye uwezo...
Hii imekuwa too much sasa, hawa mabinti wa saint francis wanaifedhehesha Necta 😂
Division 1 ya saba kwao imekuwa kama kumpa samaka mtihani wa kuogelea, kila mwanafunzi anaibonda !!
Shule imesha master mbinu ya kuwafanya wanafunzi wote wapate division 1 ya saba.
Nashauri kuongezwe division za...
# Tokyo Flood Tunnels, an underground engineering marvel that protects the city from flash floods.
#
# These tunnels, located beneath Tokyo’s bustling streets, are a stunning example of modern Japanese engineering.
#
# They not only channel rainwater away from urban areas, but also provide...
Nimeamini mdomo kiwanda cha maneno
Elimu huongeza busara
Kulikuwa na haja gani ya kusema wazazi wake hawana elimu?
Kwambababa yake hakusoma kabisa na mama yake ni darasa la saba B
Lengo lilikuwa nini kama sio kuwadhalilisha?kwa dunia ya leo kujisifu kuwa mzazi wako hajui kusom wala kuandika...
Hizi habari za jana,
Mama mmoja Pemba analalamika kwamba mtoto wake, Hamida, anayesoma darasa la kwanza amebakwa na Askari Polisi, Godfrey huko Pemba
Anasema yeye anakaa Police Quarter huko Pemba na huyo Askari ni jirani yake na usiku alikuwa anamfuata yule mtoto na kumbaka kwa sababu mtoto...
TAARIFA KWA UMMA.
Jeshi la Polisi mkoa wa Njombe linapenda kutoa taarifa kwa umma kuwa linawashikilia watu saba kwa kosa la kutishia kuua kwa Maandishi huko katika kijiji cha Ngelenge Kata ya Luhuhu wilaya ya Ludewa Mkoa wa Njombe watu hawa saba walitenda kosa hilo tarehe 3.12.2024 kwa kubandika...
📍 Kigamboni
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es salam CPA. Amos Makalla ameendelea na mikutano mikubwa ya kampeni ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Mkoa wa Dar es salam leo ikiwa ni zamu ya Wilaya ya Kigamboni, CPA Makalla amewanadi na...
Ungelikua ni wewe mkuu ungeenda ipi? kati ya hizi mbili
Mimi binafsi ningeenda hiyo private company kwa sababu
Najiamini naweza kufanya biashara.
Mara kibao huwa naona zinatoka kazi kama hizi za short term lakini vijana wanakimbilia serikalini.
👉huwa sijui ni kwanini ni uoga? wakuogopa...
Mosi,unajua unaweza usikubaliane na watu baadhi ya mambo bila kuvunjiana heshima,na unaweza usikubaliane nao bila kupandisha sauti yako. Naam pamoja na kutokubaliana na watu katika baadhi ya mambo lakini haikupi sababu ya kuwavunjia watu heshima yao.
Pili,unaweza kuhudhuria sehemu kwa muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.