sababu za kiusalama

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Kilwa: Jeshi la Polisi lapiga marufuku Mkutano wa Hadhara wa ACT Wazalendo kwa Sababu za Kiusalama

    Mkutano wa hadhara wa Chama cha ACT Wazalendo uliotarajiwa kuhutubiwa na Kiongozi wa chama hicho Dorothy Semu ambao ulipangwa kufanyika katika viwanja vya Maalim Seif Garden, Kilwa Kivinje, mkoani Lindi leo, Ijumaa Desemba 06.2024 umepigwa marufuku na Jeshi la Polisi kwa kile kinachoelezwa kuwa...
  2. Mathanzua

    Marekani na Nchi Nyingine Za Ulaya Zafunga Balozi Zake Kyiv Ukraine kwa Sababu za Kiusalama

    Marekani, Uhispania, Italia, na Ugiriki zimetangaza kufunga kwa muda balozi zao mjini Kyiv siku ya Jumatano, baada ya kuripoti " uwepo hatari kubwa ya mashambulizi ya anga nchini Ukraine." Ubalozi ya Uhispania iliwajulisha raia wake walioko Ukraine kupitia barua pepe kuhusu kufungwa kwa ofisi...
Back
Top Bottom