Naomba nimpe kibarua pia nimpongeze January Makamba, kwa uongozi safi wa wizara husika, hakika upele umepata mkunaji.
Lengo la uzi huu ni kumuomba Makamba kuwaalika wawakilishi wa viwanda vya China hapa nchini, katika sabasaba 2025, ili wawakilishi hao wafanye kazi mbalimbali ikiwemo kuwasaidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.