Ernesto Sabato (June 24, 1911 – April 30, 2011) was an Argentine novelist, essayist, painter and physicist. According to the BBC he "won some of the most prestigious prizes in Hispanic literature" and "became very influential in the literary world throughout Latin America". Upon his death El País dubbed him the "last classic writer in Argentine literature".Sabato was distinguished by his bald pate and brush moustache and wore tinted spectacles and open-necked shirts. He was born in Rojas, a small town in Buenos Aires Province. Sabato began his studies at the Colegio Nacional de La Plata. He then studied physics at the Universidad Nacional de La Plata, where he earned a PhD. He then attended the Sorbonne in Paris and worked at the Curie Institute. After World War II, he lost interest in science and started writing.
Sabato's oeuvre includes three novels: El Túnel (1948), Sobre héroes y tumbas (1961) and Abaddón el exterminador (1974). The first of these received critical acclaim upon its publication from, among others, fellow writers Albert Camus and Thomas Mann. The second is regarded as his masterpiece, though he nearly burnt it like many of his other works. Sabato's essays cover topics as diverse as metaphysics, politics and tango. His writings led him to receive many international prizes, including the Miguel de Cervantes Prize (Spain), the Legion of Honour (France), the Jerusalem Prize (Israel), and the Prix du Meilleur Livre Étranger (France).At the request of President Raúl Alfonsín, he presided over the CONADEP Commission that investigated the fate of those who suffered forced disappearance during the Dirty War of the 1970s. The result of these findings was published in 1984, bearing the title Nunca Más (Never Again).
Yesu Kristo alipokuja duniani alifanya mambo mengi ambayo hayaruhusiwi kufanywa siku ya Sabato. Kwa mfano, aliwaponya wagonjwa na pia aliwaruhusu wanafunzi wake wavunje masuke ya nafaka siku ya Sabato.
Hiyo ilikuwa kinyume na sheria ya Sabato. Wakati wa Musa, Mungu aliwaagiza Wana wa Israeli...
Surah Al-Baqarah (2:65) states:
"And you had already known about those among you who violated the Sabbath, and We said to them, 'Be apes, despised.'"
Context of this verse:
This verse refers to a group of people among the Children of Israel (Bani Isra'il) who disobeyed the command of Allah...
Wadau hamjamboni nyote?
Ndugu zangu Wasabato:
Natambua mnaumizwa sana kiakili na kisaikolojia hasa mnapojikuta hamuwezi kuupindua ukweli huu wa Kibiblia na badala yake mnaishia kulaumu Kanisa la Roman Katholiki kwamba ndiyo wamefanya hvyo.
Yaani mpo tayari kukosana na kugombana au kumnunia...
Kiwanja kipo karibu na kanisa la Sabato dakika 5 kutoka barabara inayoelekea Goba mpakani. Kiwanja kina mapana yafuatayo. Upande unapakana na barabara ni mita 16 na marefu yake ni mita 38. Upande wake wa nyuma ni mita 22. Bei yake kuanzia TZS26 milioni. Maongezi yapo tuwasiliane
Jamani hali ya elimu ya juu ndiyo hiyo wafanyakazi wa vimemo wameota mapembe hawafungui library ya chuo kisa wao wameenda sabato.Hizi dharau sana aisee.
Kwa stahili hii tutafika kweli uchumi wa viwanda.
Library ni collage ya CIVE.
Update/mrejesho
1.Library imefunguliwa saa 3 na dakika zake...
Dini ya kiyahudi inakataza kufanya kazi siku ya sabato, lakini Zayuni akaamua kabisa siku hiyo ndo akashambulie Irani. Maana yake maofisa wake walifanya kazi siku hiyo ambayo ni kinyume na dini ya kiyahudi.
Cha ajabu operation hiyo wakaiita jina la "Days of Repentance", maana yake ni siku za...
Wadau hamjamboni nyote?
Ni kisa cha kweli kabisa nimeona nikilete kwenu tupeane uzoefu
Nimekosana na rafiki yangu wa karibu kwa sababu zisizo na mashiko kabisa!
Tulianza kama utani kujadili amri za Mungu na tulikwenda vema tu hadi tulipofikia kujadili utunzaji amri ya nne ndipo tukakosana...
Wadau hamjamboni nyote?
Sabato njema wapendwa
Leo nimesali Kanisa la Wasabato salasala
Kuna ratiba ya ubatizo muda huu ila hali imekuwa tofauti kabisa na tulivyozoea kuwa wabatizwa wakila kiapo hubatizwa hapohapo Kanisani
Alijejitoa kubatizwa leo ni kijana mdogo akiwa pekeyake na amekula...
Moja ya amri kumi ni kuabudu siku ya sabato, Siku takatifu iliyotengwa na Mungu kuturuhusu KUPUMZIKA kwa kuziweka kando shughuli zetu na tunashukuru kwa kujumuika pamoja kwenye shughuli za kuabudu ikiwa ni ishara ya shukran kisha tunarudi makwetu kupumzika, Kila siku ni siku ya Mungu lakini sio...
Tumsifu Yesu Kristo
Moderator tafadhali Uzi huu usiunganishe kwingineko
Wadau hamjamboni nyote?
Wakristo tokea mwanzoni waliabudu jumapili ambayo ni ishara ya uumbaji ikiachana na sabato iliyoashiria uumbaji wa zamani
Naweka ushahidi kuhusu Jumapili huo kama ifuatavyo
Kwamba Yesu Kristo...
Wadau hamjamboni nyote
Habari mbaya kutoka.
Wezi wamevunja na kuiba mahindi ya Kande kilo 50, Maharage kilo tano, mafuta Lita moja na nusu usiku wa kuamkia jana. kwenye Kanisa la Waadventista Wasabato Kibiti
Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Rufiji Protas Mutayoba amethibitisha tukio hilo na...
Kitendo cha serikali kuweka Somo la DIVINITY kwa wakristo wote ni kuwakosea wakristo,>imani zao ni tofauti sana, wapo wanao abudu sanamu, wapo wanao heshimu sanamu, wapo wakristo wnaopinga kuabudu na kuheshimu sanamu. Wapo wanao amini roho mtakatifu na wapo wanaokataa kabisa, wapo wanaosali...
kama una mpango wa kwenda mbinguni ,Usichukie sabato maana hata mbinguni itakuwepo
Isa 66:23 SUV
Na itakuwa, mwezi mpya hata mwezi mpya, na sabato hata sabato, wanadamu wote watakuja kuabudu mbele zangu, asema BWANA.
kwa wale wanaopenda agano jipya: na kama wewe ni mtu wa Mungu
Waebrania 4:9-10...
AMRI YA NNE: Ikumbuke siku ya Sabato uitakase, Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote; lakini siku ya saba ni Sabato ya Bwana, Mungu wako
Tusiingie sana kwenye hizi dini na sheria zao bali tuzungumzie siku ya kuabudu.
Siku ya Jumamosi ndio iliyotengwa kuwa ya kisabato tangu zamani kwa...
Kwa mujibu wa Kanuni za Kanisa la Waadventista Wasabato, yapo mambo 13 ambayo ikibainika bila shaka kuwa umeyafanya, adhabu yake ni KUFUTWA USHIRIKA au kupewa karipio ( inategemea na situation).
Kitendo cha KUVUNJA SABATO ni miongoni mwa mambo hayo. Kanisa la Waadventista Wasabato linaamini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.