sabato ya bwana

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Aare Maduhu Kopano

    Nawatakia maandalizi mema ya Sabato

    Napenda kuwatakia Maandalizi Mema ya Sabato ya Bwana. Sabato haikomei kuwa maalumu kwa wanadamu tu bali na kwa wale wafanyao kazi. Siku 6 fanya kazi zako. Ikiwa hufanyi kazi bila Sababu yoyote iliyo nje na uwezo wako, basi sabato haikuhusu.
  2. C

    Viongozi wa kisabato wa sasa ninyi ni kikwazo kwa watu kushika Sabato ya Bwana

    Moja ya Amri za Mungu katika kitabu cha kutoka 20 ni kuikumbuka siku ya Sabato na kuitakasa. Na hakuna ubishi kuwa siku ya saba ndiyo siku ya Sabato. Pia hakuna ubishi kuwa siku ya saba ya juma ni jumamosi. Labda kwa waswahili tu ambao wengi ni wavivu wa kusoma na kufikiri. Hata hivyo...
Back
Top Bottom