sabato

Ernesto Sabato (June 24, 1911 – April 30, 2011) was an Argentine novelist, essayist, painter and physicist. According to the BBC he "won some of the most prestigious prizes in Hispanic literature" and "became very influential in the literary world throughout Latin America". Upon his death El País dubbed him the "last classic writer in Argentine literature".Sabato was distinguished by his bald pate and brush moustache and wore tinted spectacles and open-necked shirts. He was born in Rojas, a small town in Buenos Aires Province. Sabato began his studies at the Colegio Nacional de La Plata. He then studied physics at the Universidad Nacional de La Plata, where he earned a PhD. He then attended the Sorbonne in Paris and worked at the Curie Institute. After World War II, he lost interest in science and started writing.
Sabato's oeuvre includes three novels: El Túnel (1948), Sobre héroes y tumbas (1961) and Abaddón el exterminador (1974). The first of these received critical acclaim upon its publication from, among others, fellow writers Albert Camus and Thomas Mann. The second is regarded as his masterpiece, though he nearly burnt it like many of his other works. Sabato's essays cover topics as diverse as metaphysics, politics and tango. His writings led him to receive many international prizes, including the Miguel de Cervantes Prize (Spain), the Legion of Honour (France), the Jerusalem Prize (Israel), and the Prix du Meilleur Livre Étranger (France).At the request of President Raúl Alfonsín, he presided over the CONADEP Commission that investigated the fate of those who suffered forced disappearance during the Dirty War of the 1970s. The result of these findings was published in 1984, bearing the title Nunca Más (Never Again).

View More On Wikipedia.org
  1. Kwanini Yesu Kristo aliivunja Sabato? Sababu hizi hapa

    Yesu Kristo alipokuja duniani alifanya mambo mengi ambayo hayaruhusiwi kufanywa siku ya Sabato. Kwa mfano, aliwaponya wagonjwa na pia aliwaruhusu wanafunzi wake wavunje masuke ya nafaka siku ya Sabato. Hiyo ilikuwa kinyume na sheria ya Sabato. Wakati wa Musa, Mungu aliwaagiza Wana wa Israeli...
  2. K

    Happy sabbath, Dini ya kweli ni sabato

    Surah Al-Baqarah (2:65) states: "And you had already known about those among you who violated the Sabbath, and We said to them, 'Be apes, despised.'" Context of this verse: This verse refers to a group of people among the Children of Israel (Bani Isra'il) who disobeyed the command of Allah...
  3. U

    Jinsi Wasabato wanavyoteseka, kukereka na kuumizwa kisaikolojia na ukuu na utukufu mkubwa wa siku ya Jumapili ambao misingi yake ni ya kibiblia

    Wadau hamjamboni nyote? Ndugu zangu Wasabato: Natambua mnaumizwa sana kiakili na kisaikolojia hasa mnapojikuta hamuwezi kuupindua ukweli huu wa Kibiblia na badala yake mnaishia kulaumu Kanisa la Roman Katholiki kwamba ndiyo wamefanya hvyo. Yaani mpo tayari kukosana na kugombana au kumnunia...
  4. P

    Nauza plot Tegeta A kwa bedui -Goba.

    Kiwanja kipo karibu na kanisa la Sabato dakika 5 kutoka barabara inayoelekea Goba mpakani. Kiwanja kina mapana yafuatayo. Upande unapakana na barabara ni mita 16 na marefu yake ni mita 38. Upande wake wa nyuma ni mita 22. Bei yake kuanzia TZS26 milioni. Maongezi yapo tuwasiliane
  5. UDOM library imefungwa wafanyakazi wameenda sabato

    Jamani hali ya elimu ya juu ndiyo hiyo wafanyakazi wa vimemo wameota mapembe hawafungui library ya chuo kisa wao wameenda sabato.Hizi dharau sana aisee. Kwa stahili hii tutafika kweli uchumi wa viwanda. Library ni collage ya CIVE. Update/mrejesho 1.Library imefunguliwa saa 3 na dakika zake...
  6. M

    Kitendo cha Israel kushambulia Iran siku ya sabato hivi Israel ya sasa inafuata misingi ya dini ya kiyahudi?

    Dini ya kiyahudi inakataza kufanya kazi siku ya sabato, lakini Zayuni akaamua kabisa siku hiyo ndo akashambulie Irani. Maana yake maofisa wake walifanya kazi siku hiyo ambayo ni kinyume na dini ya kiyahudi. Cha ajabu operation hiyo wakaiita jina la "Days of Repentance", maana yake ni siku za...
  7. U

    Tumekosana hatuongei! kisa nimemfananisha na mafarisayo, anadai kuagiza chakula hotelini au kujaza mafuta gari yako siku ya Sabato ni dhambi!

    Wadau hamjamboni nyote? Ni kisa cha kweli kabisa nimeona nikilete kwenu tupeane uzoefu Nimekosana na rafiki yangu wa karibu kwa sababu zisizo na mashiko kabisa! Tulianza kama utani kujadili amri za Mungu na tulikwenda vema tu hadi tulipofikia kujadili utunzaji amri ya nne ndipo tukakosana...
  8. U

    Nimeshangazwa kiapo cha ubatizo Kanisa la Sabato salasala, aliyejitoa kubatizwa amekula kiapo mbele ya Kanisa, ila ataenda kubatizwa nchini Marekani

    Wadau hamjamboni nyote? Sabato njema wapendwa Leo nimesali Kanisa la Wasabato salasala Kuna ratiba ya ubatizo muda huu ila hali imekuwa tofauti kabisa na tulivyozoea kuwa wabatizwa wakila kiapo hubatizwa hapohapo Kanisani Alijejitoa kubatizwa leo ni kijana mdogo akiwa pekeyake na amekula...
  9. W

    Ni kwanini amri ya kuiabudu siku ya sabato tangu enzi za Musa hadi sasa ni jumamosi lakini makanisa mengine huabudu jumapili?

    Moja ya amri kumi ni kuabudu siku ya sabato, Siku takatifu iliyotengwa na Mungu kuturuhusu KUPUMZIKA kwa kuziweka kando shughuli zetu na tunashukuru kwa kujumuika pamoja kwenye shughuli za kuabudu ikiwa ni ishara ya shukran kisha tunarudi makwetu kupumzika, Kila siku ni siku ya Mungu lakini sio...
  10. U

    Huu ndiyo ukweli sabato inaashiria mwisho ya uumbaji za zamani, jumapili siyo sabato bali ni ishara ya mwanzo ya uumbaji mpya!

    Tumsifu Yesu Kristo Moderator tafadhali Uzi huu usiunganishe kwingineko Wadau hamjamboni nyote? Wakristo tokea mwanzoni waliabudu jumapili ambayo ni ishara ya uumbaji ikiachana na sabato iliyoashiria uumbaji wa zamani Naweka ushahidi kuhusu Jumapili huo kama ifuatavyo Kwamba Yesu Kristo...
  11. U

    Wezi waiba kilo 50 za mahindi ya kande Kanisa la Sabato Kibiti

    Wadau hamjamboni nyote Habari mbaya kutoka. Wezi wamevunja na kuiba mahindi ya Kande kilo 50, Maharage kilo tano, mafuta Lita moja na nusu usiku wa kuamkia jana. kwenye Kanisa la Waadventista Wasabato Kibiti Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Rufiji Protas Mutayoba amethibitisha tukio hilo na...
  12. Somo la ki-islamu lazua sintofahamu, Je, Sabato, Katoliki na walokole Imani inafanana?

    Kitendo cha serikali kuweka Somo la DIVINITY kwa wakristo wote ni kuwakosea wakristo,>imani zao ni tofauti sana, wapo wanao abudu sanamu, wapo wanao heshimu sanamu, wapo wakristo wnaopinga kuabudu na kuheshimu sanamu. Wapo wanao amini roho mtakatifu na wapo wanaokataa kabisa, wapo wanaosali...
  13. Sabato njema wapendwa

    kama una mpango wa kwenda mbinguni ,Usichukie sabato maana hata mbinguni itakuwepo Isa 66:23 SUV Na itakuwa, mwezi mpya hata mwezi mpya, na sabato hata sabato, wanadamu wote watakuja kuabudu mbele zangu, asema BWANA. kwa wale wanaopenda agano jipya: na kama wewe ni mtu wa Mungu Waebrania 4:9-10...
  14. Wayahudi na wasabato wanaendelea kuabudu sabato ya Jumamosi ambayo hata Yesu aliiabudu, ni nani aliibadili iwe Jumapili

    AMRI YA NNE: Ikumbuke siku ya Sabato uitakase, Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote; lakini siku ya saba ni Sabato ya Bwana, Mungu wako Tusiingie sana kwenye hizi dini na sheria zao bali tuzungumzie siku ya kuabudu. Siku ya Jumamosi ndio iliyotengwa kuwa ya kisabato tangu zamani kwa...
  15. Kitendo cha Mzee Stephen Wasira Kuvunja Sabato Hadharani: Je atapewa adhabu kwa mujibu wa kanuni za Kanisa?

    Kwa mujibu wa Kanuni za Kanisa la Waadventista Wasabato, yapo mambo 13 ambayo ikibainika bila shaka kuwa umeyafanya, adhabu yake ni KUFUTWA USHIRIKA au kupewa karipio ( inategemea na situation). Kitendo cha KUVUNJA SABATO ni miongoni mwa mambo hayo. Kanisa la Waadventista Wasabato linaamini...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…