Jeshi la polisi Jukumu lenu ni Usalama wa Raia na Mali zao .
Na msiwe na bias kwenye hili
Msibagua watuu maana nyinyi ni wazazi bila kujali itikadi ,dini ,kabila ,ranging na vyote hivyo
Lkn hili swala la watu kutekwaa na kupata taarifa kwenye vyomba vya habarii hasa hasa Social media bila...