Wadau wa mziki wanadai pale Wcb hakuna ubunifu
Diamond anasikiliza nyimbo za kinaijeria ili afanye remix
Director kenny anaangalia video za wengine ili afanye remix
Reyza anasikiliza beat za wengine ili azifanyie remix
WCB = WE COPY THE BEST
Hii ni Aibu huyu sadala analitia aibu taifa kwa...