sadio mane

Sadio Mané (born 10 April 1992) is a Senegalese professional footballer who plays as a forward for Bundesliga club Bayern Munich and the Senegal national team. Widely regarded as one of the best players in the world and amongst the greatest African players of all time, he is known for his pressing, dribbling, and speed.Mané began his professional career with Ligue 2 club Metz at the age of 19, but he departed after a solitary season to join Austrian club Red Bull Salzburg in 2012 for a fee of €4 million, winning a league and cup domestic double in the 2013–14 season. Later that summer, Mané transferred to English club Southampton for a club record fee of £11.8 million. There, he set a new Premier League record for the fastest hat-trick, scored in 176 seconds in a 6–1 win over Aston Villa in 2015.
Mané signed for fellow Premier League club Liverpool in 2016, for a reported fee of £34 million. He helped the side reach back-to-back UEFA Champions League Finals in 2018 and 2019, winning the latter. He also finished as the league's joint-top goalscorer in the 2018–19 season, winning the Premier League Golden Boot. Mané then helped end Liverpool's 30-year league title drought by winning the 2019–20 Premier League. In October 2021, he scored his 100th Premier League goal, becoming the third African to reach the landmark. Mané finished fourth and second in the 2019 and 2022 editions of the Ballon d'Or, respectively; and in The Best FIFA Men's Player he ranked fifth in 2019 and fourth in 2020.
At international level, Mané has registered 34 goals in 93 appearances for Senegal since his debut in 2012, and currently ranks as his nation's all-time top goalscorer, and third in all-time appearances. He represented Senegal at the 2012 Olympics, as well as the 2015, 2017, 2019 and 2021 editions of the Africa Cup of Nations. In the 2019 tournament, Mané helped Senegal to a runners-up finish, and a year later, was named African Footballer of the Year. In the 2021 final, Mané scored the winning kick in the penalty shoot-out to give Senegal their first Africa Cup of Nations title and he was also named the Player of the tournament. In 2022, he was crowned African Player of the Year for the second time. Mané also represented his nation at the 2018 FIFA World Cup, in its second-ever appearance in the competition.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Shirikisho la soka nchini Senegal limezindua sanamu kumuenzi mwanasoka wa taifa hilo Sadio Mane, mjini Bambali alikozaliwa!

    Mambo ndo kama hayo mnavyoona ndugu watazamaji
  2. V

    Walisema Sadio Mane amebaguliwa Bayern Munich ila leo Bayern Munich wamempa kazi kubwa ya ukocha Vicent Company

    I'm proudly black man Ila waafrica wengi tuna matatizo sana Sadio mane alienda Bayern Munich tena akawa miongoni mwa wachezaji watatu wanaokula mshahara mkubwa Bayern Lkn tunaofatilia mpira toka liverpool ni kwamba sadio mane alishajichokea mpira ulishaisha km mnavyojua waafrica kwa...
  3. 2 of Amerikaz most wanted

    Sadio Mane deserve direct red card

    Sadio Mane only received a Yellow card for this tackle on Ivory Coast and Nottingham forest midfielder Ibrahim Sangare.
  4. S

    Sadio Mane amruhusu mkewe kwenda kusoma chuo, siku chache tu baada ya ndoa. Tumwambie au tumwache?

    Anachokifanya Sadio Mane kwa mkewe kinaweza kumgharimu sana. Maana dunia hii ni tambara bovu, linaweza kuchanika mahala asipotarajia. Eti kamruhusu mkewe aende chuo akaendelee na masomo ili hali wamefunga ndoa hivi majuzi tu. Na mke hana mimba wala nini. . Vyuoni kuna wakware waliopinda...
  5. sky soldier

    Ni wivu ama wanahoja ya kusikilizwa: Wanawake wamjia juu Mchezaji Sadio Mane (31) baada ya kumuoa binti mdogo miaka 18

    Sadio Mane kwa sasa anachezea timu ya Al Nassr, Mshahara wake kila wiki ni takribani dola za kimarekani 830,000 ambazo ni sawa na shilingi za kitanzania bilioni mbili kila wiki. Kwa nchi kama senegal wanafuata sheria za kiislam na kiafrika ambazo zinaruhusu kuanza mahusiano na binti mwenye...
  6. Mjanja M1

    Wanaume tumuige Sadio Mane kwenye ndoa

    Habari zenu, Ukizungumzia Wachezaji wenye Hekima na Kujali watu basi huwezi kuacha kumtaja Msenegal Sadio Mane. Mane amekuwa ni msaada kwa jamii yake na ametufundisha kitu kwenye mahusiano pia, kitu alichotufundisha ni kwamba unapooa pambana upate Mwanamke ambae ni Mpya na asiekuwa na mapito...
  7. LIKUD

    Nawashangaa Watanzania wanaoshangaa kusikia Sadio Mane kamuoa girlfriend wake wa muda mrefu mwenye umri wa miaka 18

    Age of consent in Senegal is 16 years old. Kwa maana ya kwamba mtu mwenye umri wa miaka 16 nchini Senegal anaruhusiwa kuolewa au kuoa. Hiyo hoja kusema kwamba sijui alikuwa ana tembea na minor haina mashiko. Hata hapa Tanzania sheria yetu ya ndoa msichana anaruhusiwa kuolewa akiwa na umri...
  8. M

    Mchezaji mpira maarufu Senegal Sadio Mane afunga ndoa na mchumba wake, binti wa miaka 18

    Mchezaji mpira maarufu Sadio Mane juzi amefunga ndoa na mchumba wake, binti mdogo Mwenye umri wa miaka 18. Mwamba ameamua kuoa dogo dogo kuwahi bikira kabisa kabla wahuni hawajaitoa. Cha kushangaza wanasema ni long time girl friend wake. Nawaza tu mahusiano walianza binti akiwa na miaka mingapi?
  9. Wakili wa shetani

    Sadio Mane amejenga uwanja kijijini kwao. Utopolo na makolo wanashindwa nini kuwa na viwanja?

  10. K

    Ronaldo hat trick tena, Sadio Mane apiga mbili!

    Cristiano Ronaldo alifunga hat-trick wakati timu yake ya Al-Nassr ikipata ushindi wao wa kwanza wa Saudi Pro League msimu huu kwa kuwafunga Al Fateh 5-0 Ijumaa hii usiku. Mbali na RonaLdo, mshambuliaji wa zamani wa Bayern Munich, Sadio Mane alianza kuifungia Al-Nassr dakika ya 28 na Ronaldo...
  11. JanguKamaJangu

    Bayern Munich yajipanga kuachana na Sadio Mane

    Kocha wa Bayern Munich, Thomas Tuchel amekiri kuwa usajili wa raia huyo wa Senegal haujawa na mafanikio kwa kuwa mchezaji ameshindwa kufikia malengo, hivyo anaweza kuuzwa kwa Paundi Milioni 17 ikiwa ni mwaka mmoja tu tangu alipoajiliwa kutoka Liverpool kwa Pauni Milioni 35. Bayern ina mpango...
  12. D

    Sadio Mane atachezea klabu gani msimu ujao?

    Kama tunavojua Mane hatoendelea na Bayern msimu ujao ila hadi sasa bado haijajulikana atasainiwa na klabu gani. So far klabu ambazo zimejiweka wazi kumtaka nyota huyo wa Senegal ni: Chelsea, Newcastle, PSG, Liverpool, Juventus, Tottenham, Inter, Aston Villa, Arsenal na Marseille. Unadhani...
  13. B

    Sadio Mane apewe maua yake

    Mchezaji maarufu wa mpira wa miguu duniani "Sadio Mane wa Senegal" (Afrika Magharibi), ambaye kipato chake ni dola 186K kwa wiki, alionekana katika maeneo mengi akiwa na simu zilizovunjika. Katika mahojiano alipoulizwa kuhusu hilo, alisema nitaitengeneza. Alipoulizwa kwa nini usinunue mpya...
  14. Nyuki Mdogo

    Huyu ndiye baba mzazi wa Leroy Sane (mchezaji wa FC bayern aliyegombana na Sadio Mane)

    This is Souleymane Sane, a former Senegalese international player, he represented Senegal in 1994 Afcon, he is the father of Leroy Sané who is representing Germany. He gave his son Leroy because of Claude Leroy was the coach who gave him chance to play for Senegal. Leroy sane... (akiwa na...
  15. JanguKamaJangu

    Bayern Munich yamsimamisha kazi kwa muda Sadio Mane kwa kumpiga Leroy Sane

    Uamuzi huo umetokana na tukio lililotokea vyumba vya kubadilisha nguo wakati timu hiyo ikifungwa 3-0 na Manchester City, ikidaiwa kutokana na wawili hao kupishana kauli ndipo Mane akampiga ngumi ya uso Leroy Sane. Mane hatakuwa sehemu ya kikosi kitakachocheza dhidi ya Hoffenheim katika...
  16. Mohammed wa 5

    Sakho anajipendekeza kwa Sadio Mane

    Sakho uko kambini na timu ya taifa kila muda ni kumfuata Sadio Mane, nimeona video yake akicheza ili aonekane kwa Mane. Acheze mpira aache shobo, na nyie mashabiki wa Simba mnafurahia tu mchezaji wenu wanamfanya Kama dancer hivi kisa amepostiwa na Sadio Mane. Sakho ni chawa wa Sadio Mane
  17. JanguKamaJangu

    Angalia alichopost Sadio Mane kuhusu Sakho, awaambia "Simba angalieni mchezaji wenu"

    Sadio Manè just posted this video of Pape Sakho dancing in Senegal’s camp with the caption: “Simba SC look at your player become a dancer.”
Back
Top Bottom