Bart Sibrel ni mmoja ya wapingaji wakubwa wa kuwahi kutokea safari ya binadamu mwezini.Amewahi kutengeneza filamu nyingi za kupinga tukio hilo lililotajwa kufanikiwa mwaka 1969.
Siku moja mwaka 2002 Bart alimdowea Buzz akiwa kwenye bustani na kumkabidhi biblia ili aape iwapo kweli alifika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.