safari za rais samia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 Mtandika: Tuache kusema Rais anatumia kodi zetu vibaya kwa safari za nje ya Nchi

    Huyu jamaa anajiita mtaalamu wa Protocol za uongozi Abobakary Mtandika,. binafsi ni jamii ile ile ya machawa tu. Soma Pia: Gharama anazotumia Rais kusafiri nje ya nchi zinarudishwaje? Akiwa katika harakati za kutetea baadhi ya mambo yanayo umiza wananchi
  2. Etwege

    Prof. Lipumba: Rais Samia anaelekea kumpiku Kikwete kwa kusafiri nje ya nchi

    Mwenyekiti wa CUF prof Lipumba ametoa ripoti ya Baraza la Wazee wa chama hicho waliokaa hivi karibuni na kuelezea kuwa wanasikitishwa na ukuaji wa kasi wa deni la taifa na inaelekea Rais Samia anampiku Rais wa awamu ya nne Jakaya Kikwete kwa u Vasco dagama wa kusafiri nje ya nchi kukopa kwa...
Back
Top Bottom