Kampuni ya mawasiliano Safaricom imefungua milango ya ushirikiano na kampuni ya mtandao wa satelaitii ya Starlink, ikiwa ni hatua ya kuimarisha teknolojia ya intaneti nchini.
Mkurugenzi Mtendaji wa Safaricom, Peter Ndegwa, amesema kuwa teknolojia ya Starlink, ambayo imeleta mapinduzi kwenye...