safarini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. chinatown

    Wazazi wenzangu embu jifunzeni kitu hapa kwa nilichokiona nikiwa safarini

    Jumapili nilkuwanasafiri na gari kutoka west kilimanjaro to Dar.sitataja gari ya abiria niliyo safiri nayo.bahati nzuri au mbaya gari haikuwa na abiria wengi mpaka tumefika marangu gari ilikuwa na abiria kumi pamoja na mimi.Tulikaa sana pale kama dakika therasini.Tukaanza safari ya DAR...
  2. Eli Cohen

    Hakuna mantiki yoyote itakayojibu swali la mwanamke la "Kwanini wanaume wanapenda kucheat sana?". Maelezo haya yanaweza kurelate na swali lao

    Mwanaume anacheat kwa sababu ana uwezo wa kucheat. Sio kwa sababu eti mfuska , hapana, hata wale normal familiy loving men wana cheat. Mwanaume ana cheat sio kwa sababu ya mke wake amridhishi au labda mke wake ni pasua kichwa, ila anacheat kwa sababu technically mwanaume ni sex machine...
  3. TODAYS

    Ajifungua Akiwa Safarini Kwenye Basi Kampuni ya Katarama

    Inaweza kuwa safari yenye huzuni na kukushtua endapo kunatokea taarifa za kuogofya za ajali hama hama tukio lenye kuhuzunisha. Hapo hapo safari inaweza kuwa na furaha endapo safarini kuna vicheko kwa wasafiri. Tukio lililotokea majira ya saa 19:34 maeneo ya dumila karibu na mzani ni mshangao...
  4. Tlaatlaah

    Ni maeneo gani safarini kutoka Dar- DodomaA au kwingineko maeneo gani njiani hayana network kabisa na huwezi kutumia simu yako

    Yaani ukifika maeneo hayo network inakua hakuna kabisa. huwezi kutumia simu kuwasiliana, yaani huwezi kupiga simu wala kupokea, huwezi kutuma sms au kupokea sms. Network inakua hakuna kwa ujumla, na zaidi sana hakuna kabisa Internet network.. Yapo maeneo humo humo njiani network iko full tena...
  5. A

    Tetesi: Peter Msechu safarini Lilongwe

    Zipo tetesi Msanii Nguli nchini Peter Msechu amealikwa katika tamasha nchini Malawi. Kila la kheri P
  6. Hekima ni Mwalimu

    Maisha tuko safarini na tuko ndani ya historia nani anabisha ?

  7. green rajab

    Makombora ya Urusi yaingia Poland safarini kuelekea Ukraine

    Russia imerusha makombora kuelekea Ukraine yaliyopitia ndani ya Anga la Poland masaa machache yaliyopita na kusababisha Poland kurusha ndege zake F 16 lakini zilisha chelewa na kusababisha mzozo juu ya Air defense zao zilizokua zikikoroma kwenye usingizi mzito Russian missiles are flying...
  8. Tlaatlaah

    Matumizi ya pombe safarini ni hatari kwa uhai wako mwenyewe

    Maisha ni zawadi kutoka kwa Mungu, lazima tutuinze na kuithamini zawadi hii muhimu kwetu sote. Tufurahie uhai na mema mengi ya Mungu alieyoyajaza katika ulimwengu huu. Imeibuka kasumba kwa wanywaji pombe hasa vijana, mathalani, anasafiri kutoka mkoa moja kuelekea mkoa mwingine, kutumia vilevi...
  9. MulegiJr

    Kuosha mikono safarini, wakati na baada ya kula

    Jana nilikuwa Safarini kutoka Moshi Dodoma, nilipanda Bus ya Shabiby, tulipofika Babati tukashuka kula, nilipofika eneo la kuchukua chakula nikagundua Siku tatu mfulizo nimekula chipsi so siwezi kula tena chipsi nikasogea kwenye wali na Samaki nikavutiwa, nilipochukua msosi nikawaza kuchukua...
  10. Mchochezi

    Ukiwa safarini ni jambo gani huwa hupendi litokee katika safari yako?

    Mimi huwa sipendi kukaa na abiria anayesinzia na kunilalia begani. Wewe huwa hupendi jambo gani?
  11. kokudo

    Safarini NAIROBI kibiashara kwa Mara ya kwanza 🤔

    Nipo njiani kulielekea jiji LA Nairobi nchini Kenya kibiashara ni kiri tu ndo mara ya kwanza kwenda nchi hii kibiashara Tofauti na mara mbili nilizokwenda kwa shughuli nyingine na tulikwenda jumuia Njia ni Sirari au Isibania MWENYE UZOEFU NA NJIA HII LAKINI PIA JIJI HILO
  12. Meneja Wa Makampuni

    Tumalize ubishi Superwoman ya Phina Vs Superwoman ya Zuchu ipi imetulia kusikiliza kwenye gari lako ukiwa safarini?

    Pamezuka ubishi kuhusu wimbo wa "Superwoman" wa Phina na "Superwoman" wa Zuchu. Kuna mjadala mkali sana kuhusu wimbo upi umetulia kusikiliza ukiwa safarini. Nimeamua kuileta hii mada hapa jukwaani pengine tunaweza kupata majibu sahihi. Hii ni Superwoman ya Phina: Hii ni Superwoman ya...
  13. Bujibuji Simba Nyamaume

    Mambo ya kuzingatia uwapo safarini

    1. Salimia unayemkuta kwenye siti maana hujui ya baadae. Inakera hukusalimia halafu baadae unaanza kuuliza "Eti hapa tumefika wapi?" 🙄🙄🙄 2. Kuwa mstaarabu unapoingia kwenye basi hasa kama tayari unajua siti yako haina haja ya kugombania mlangoni. 3. Sikiliza nyimbo na video za kwenye simu yako...
Back
Top Bottom