Safety is the state of being "safe", the condition of being protected from harm or other danger. Safety can also refer to the control of recognized hazards in order to achieve an acceptable level of risk.
Habari ya muda huu,
Mimi ni recent graduate wa Bachelor degree, nilituma CV ya kuomba position ya Junior Safety Officer....na hatimaye leo jioni nimepigiwa simu kuwa kesho nifike kwa ajili ya interview.
Naomba muongozo na vitu vya kuzingatia maana ndio interview yangu ya kwanza.
Natanguliza...
Habari wana jamii,
Naomba kwa yeyeto mwenye connection ya kazi ya Health, Safety and Environment (HSE) popote aniunganishe.
Nina Degree ya Environmental Planning and Management pia nina NOSHC I, OHS Risk Assessment zote kutoka OSHA pamoja na Computer Certificate.
Kwa yeyeto anayeweza...
Habari za muda huu Wakuu? Msaada kwenye tuta nina rafiki yangu kwa sasa yupo South Africa 🇿🇦 sasa Visa/Passport aloingia nayo kule inabidi asome course ya OCCUPATION AND HEALTH SAFETY haiwezekani kubadilisha sasa je course hii akirudi hapa Bongo anaweza kufanya kazi gani? Na issues za kuajiriwa...
EVERY year on the third week of August, Tanzania celebrates Road Safety Week. This week is dedicated to raising public awareness about road safety laws, proper use of pedestrian crossings and the importance of following traffic rules, especially for motorcyclists. It also includes vehicle...
Zaidi ya makanisa 4,000 yamefungwa mwezi uliopita nchini Rwanda kwa kushindwa kufuata kanuni za afya na usalama, ikiwa ni pamoja na kutokuwa na ufunikaji sauti mzuri.
Hii imeathiri hasa makanisa madogo ya Kipentekoste na misikiti michache - baadhi yao yakiwa yanafanya shughuli zao ndani ya...
INTRODUCTION.
In Tanzania road traffic injuries causes almost 42% of all death due road traft accident ( TPF, 2016). Apart from deaths also leads to high burden of disability adjusted life years. Many of injuries and deaths are preventable. Many road traffic death occurs in pre hospital...
Happy union day everyone!
Leo nimewaza hiki kitu nikaona si vibaya kushare kinaweza kumsaidia mtu mahali.
Hivi ulishajiuliza incase umepata emergency yoyote mahali, ikatokea hujielewi, watu watakusaidiaje?
Mfano, umepata ajali, au umepoteza simu yako.
Maana simu zetu muda wote zinakuwa na...
I used to learn multiple road signs and what they mean especially from primary level to secondary level too, though I did feel like this topic was usually rushed up with our teachers and now I am an adult and they are been various new signs that I know nothing about.
I don't drive and sometimes...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.