Said Mussa Zubeir (born 25 June 1969) is a Tanzanian CCM politician and Member of Parliament for Fuoni constituency since 2010.Said Zubeir is also the head of the salsa family in Zanzibar, he and his wife Salama Issa Ahmed are the founders of the Salsa family and Salsa upto date. Said Zubeir and Salama Issa were married in 1991 in Zanzibar Tanzania. They have a family there which is known as the Salsa family which consist of two parents Said Zubeir, Salama Issa and five children Maryam, Iknut, Fereij and their twins brother and sister Salma and Sleiyum in Zanzibar.
Salsa family owns the Salsa up to date company in Zanzibar, misk shops in Zanzibar and misk goods transportation agencies in East Africa. Salsa family's net worth is 4.8 million USD.
Wakuu,
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda, ameshtushwa kwa kufungiwa Uwanja wa CCM Kirumba na kuuagiza Uongozi wa Chama cha Soka Mkoa wa Mwanza MZFA kuiandikia barua Bodi ya Ligi Kuu Tanzania TPLB kuja kukagua Uwanja na waainishe mapungufu yaliyosababisha Uwanja kufungiwa.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amesema Serikali ya Jamhuri ya Muumhano wa Tanzania inalitambua na kuthamini mchango wa Walinzi wa Jadi (Sungusungu) na kuwataka pia kufanya kazi kwa kuzingatia haki, kanuni na sheria za nchi.
Mkuu wa Mkoa ameyasema hayo leo Februari 20, 2025 kwa nyakati...
Amesema kuwa ameona taarifa ya jeshi la polisi kuhusu kutekwa kwa Katibu huyo,
Soma: Pre GE2025 - Amani Manengelo, Katibu wa BAVICHA Mkoa wa Mwanza, ameripotiwa kutekwa na kupotea tangu tarehe 14.02.2025 huko Misungwi
"Nitaliita jeshi la polisi ambalo lina dhamana ya kuilinda amani, usalama na...
Wakuu,
Wakati mnaendelea kujadili mchuano kati ya Lissu na Mbowe, viongozi wa CCM wameendelea kutustaajabisha!
=================================================
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda, amemkabidhi pikipiki mpya kijana Kusana Lumambo, aliyegonga gari la mkuu huyo wa mkoa na...
“Ahmed Ally amenikosea sana, anatumia umaarufu wake kunichafua, Mimi siyo kiongozi Wa kwanza kushabikia Yanga”
Mh Said Mtanda, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kupitia kipindi cha michezo cha Crown Sports ya Crown FM
Una maoni gani?
Mkoa wa Mwanza ni mkoa "injini", kama ni timu, basi mwanza ni " Kiungo mchezeshaji".Kwa Kanda ya ziwa, Mwanza ikipiga chafya, mikoa jirani lazima nguo zipeperuke kutokana na upepo. Hakuna mtu aliyejipata wa Kanda ya ziwa asiyewekeza Mwanza. Mkoa unahitaji damu changa ya amsha amsha.
Mkoa una...
Viongozi wa Serikali Mkoa wa Mwanza ebu angalieni Afya na utu wa wananchi wenu. Hivi kweli Wilaya ya Nyamagana tena Jiji kabisa mmekosa sehemu nzuri ya kuwaweka wafanyabiashara wadogo wadogo na machinga wa Buhongwa, hadi mkaamua kuwapeleka kwenye dampo la kumwaga uchafu na taka mlilojenga...
Mkoa wa Mwanza ni Mkoa wa Kimkakati, ila naona kama Mtanda "anaupoza" sana, anafanya ukuu wa mkoa wa kimangimeza, nilitarajia awe anakula "Misele" Ukerewe, Kwimba, Misungwi, Magu, nilimuona mara moja tu Sengerema akisema yule mama aliyedhulumiwa ardhi na Halmashauri wakaweka makaburi sijui...
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda ameibuka, baada ya Tumsime Ngemela kumtaja alipozungumzia tuhuma za kulawitiwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dk Yahya Nawanda.
Tumsime akizungumza na waandishi wa habari jana Julai 5, 2024 jijini Dar es Salaam, alimtuhumu Mtanda kwamba alimshawishi...
Hapa nasikiliza video ya Binti Tumsiime anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Dkt. Nawanda. Binti ameelezea kwa kina sakata zima la kulawitiwa, mpaka msukumo mzima wa kutaka kuzima kesi.
Binti Tumsiime ameelezea kuwa baada ya kufanyiwa kitendo kile, aliripoti kituo cha...
Huyu kiongozi ana weredi na haiba ya kutosha, ni mfano bora kwangu kiongozi inabidi awe mnyenyekevu asiyependa makuu, SAID MTANDA sio mla rushwa kama amewahi kufanya hilo basi alikuwa hajui kuwa ni mla rushwa.
Said Mtanda pokea heshima yako umekuwa mfano bora sana kwangu shida yako ni moja tu...