Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa zinazomsambaa kuhusu mwenendo wa tukio la kikatili lililotokea dhidi ya binti mmoja mkazi wa Dar es Salaam.
Tukio hili lilirekodiwa katika picha mjongeo zilizomsambaa katika mitandao mbalimbali zilizoonyesha...