Moja kwa moja kwenye mada.
Tukiendelea kukaa kimya na kufumba macho pamoja na kuziba masikio tunajidanganya.
Sakata la Loliondo miaka ya 90 utawala wa Rais Ally Hassa Mwinyi uliwafurusha wamasai na kuwaweka waarabu, tukasema hayatuhusu. Ingawa wapo waliopaza sauti hadi kupoteza maisha. Heshima...