Friends and Our Enemies,
Jana nimemsikiliza Godbless Lema,Kada na Mbunge za zamani wa jimbo la Arusha akiendelea na siasa zake za upotoshaji na kuganga njaa kuhusu suala la wamasai na kinachoendelea ngorongoro.
Lema anasema kwamba,Serikali inakosa mantiki katika kuwaondoa wamasai huku...