sakata la usajili wa chama

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    Nini Chama? Kulikuwa na Emmanuel Anorld Okwi, Nteze John Lungu na wengineo!

    Cloatus Chota Chama Nikiwa shabiki wa Simba niliupenda uchezaji wa Chama lakini nimekuwa nakerwa mno na tabia yake ya kuzua sintofahamu kila unapofika wakati wa usajili. Kwa tabia hii ni vizuri Kwa viongozi wa Simba wasibabaike na Hilo la Chama wamwache asuke au anyoe atajijua mwenyewe, kwani...
  2. Metronidazole 400mg

    Cloatus Chota Chama anataka mpunga mrefu ili kubaki Simba

    Cloatus Chota Chama Ni kweli bado hakijaeleweka. Kiungo mshambuliaji Mzambia, Clatous Chama bado hajamwaga saini ya kuendelea kubali Simba baada ya mabosi wa Msimbazi kushindwa kumtekelezea mahitaji aliyowasilisha mezani ili asalie kikosini. Ipo hivi. Utata umeibuka ni baada ya mabosi wa Simba...
Back
Top Bottom