Nawasalimu kwa Jina la Sports, niende moja kwa moja kwenye Mada.
Imekuwa kero sana kila unapofungua social media yoyote ni FEITOTO FEITOTO tuna mpa kichwa Sana Yule chalii mwisho ajione bila yeye No Football Tanzania hii.
My Take: Vita aliyoipigania yanga ni kubwa Sana ni sahihi yeye kutafuta...