Habari waheshimiwa!!
Toka nimekuwa na kujitambua nimekuwa nikisikia huu usemi kuwa "subira yavuta heri" usemi huu nimeusikia si mara moja bali mara nyingi na sehemu tofauti na pia hutumiwa na watu wa rika tofauti kuanzia watoto, vijana, watu wazima hadi wazee na vikongwe.
Binafsi mimi naona...