salam

As-salamu alaykum (Arabic: ٱلسَّلَامُ عَلَيْكُمْ, as-salāmu ʿalaykum, Arabic: [as.sa.laː.mu ʕa.laj.kum] ), also written salamun alaykum and typically rendered in English as salam alaykum, is a greeting in Arabic that means 'Peace be upon you'. The salām (سَلَام, meaning 'peace') has become a religious salutation for Muslims worldwide when greeting each other, though its use as a greeting predates Islam, and is also common among Arabic speakers of other religions (such as Arab Christians and Mizrahi Jews).
In colloquial speech, often only salām, 'peace', is used to greet a person. This shorter greeting, salām (سَلَام), has come to be used as the general salutation in other languages as well.
The typical response to the greeting is wa ʿalaykumu s-salām (وَعَلَيْكُمُ ٱلسَّلَامُ, Arabic: [wa ʕa.laj.kum mus.sa.laːm] , 'and peace be upon you'). In the Quranic period one repeated as-salamu alaykum, but the inverted response is attested in Arabic not long after its appearance in Hebrew. The phrase may also be expanded to as-salāmu ʿalaykum wa-raḥmatu -llāhi wa-barakātuhū (ٱلسَّلَامُ عَلَيْكُمْ وَرَحْمَةُ ٱللَّٰهِ وَبَرَكَاتُهُ, [as.sa.laː.mu ʕa.laj.kum wa.raħ.ma.tu‿ɫ.ɫaː.hi wa.ba.ra.kaː.tu.huː]), 'Peace be upon you, as well as the mercy of God and His blessings'.
The use of salaam as an Arabic greeting dates at least to Laqit bin Yamar al-Ayadi (6th century), and cognates in older Semitic languages (Aramaic šlāmā ʿalḵōn (ܫܠܵܡܵܐ ܥܲܠܟ݂ܘܿܢ) and Hebrew shalom aleichem (שָׁלוֹם עֲלֵיכֶם shālôm ʻalêḵem)) can be traced back to the Old Testament period.

View More On Wikipedia.org
  1. GoldDhahabu

    Salam kwa viongozi wakuu wa Afrika!

    Huu ujumbe unamuhusu ye yote mwenye access ya kuingia kwenye mikusanyiko inayowakutanisha watawala wakuu wa Afrika! Siku watakapokutana, naomba uwazamomee na kuwaambia wanalitia sana aibu bara la Afrika kwa kuendelea kulialia kuwa nchi za Magharibi zinaharibu amani barani Afrika. Waambie kuwa...
  2. D

    Salam ya Mh.Raisi Samia kufunga mwaka 2024 haina chembe ya uwajibikaji wa serikali katika kupunguza ajali barabarani

    Matatizo ya ajali barabarani tunaweza kuyaondoa haraka endapo mamlaka za serikali zitachukua hatua leo. kama hatutabadili namna ya kufikiri itatuchukua miaka mingi sana kupunguza matatizo ya ajali Tanzania. Takwimu alizotoa rais wakati akifunga mwaka 2024 zinaonesha ajali zilizotokea ni 1735 na...
  3. S

    DOKEZO Baadhi ya wanafunzi waliopata Samia scholarship UDSM wakumbana hali ngumu kufuatia kutopata fedha za kujikimu na ada ya masomo

    Changamoto za Wanafunzi Walionufaika na Samia Scholarship – Ombi la Msaada Tunapenda kuwasilisha changamoto zinazowakumba baadhi ya wanafunzi walionufaika na Samia Scholarship katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Wanafunzi hawa wanakumbana na hali ngumu kufuatia kutopata fedha za kujikimu wala...
  4. P

    Salam kutoka kwa Trump: Thanks giving week

    Kuanzia wiki hii, Marekani kumekuwa na shamrashamra za Thanks Giving ambayo inashehekewa kila Alhamis ya mwisho ya mwezi wa 11. Hata hivyo burudani huwa zinaanza kitambo. Mimi kwa mwaka huu nashukuru kuwa hai, kuwa Marekani na saa hizi nimeona nijipige unywaji. Nimejinunulia mavitu mazito ili...
  5. P

    Salam kutoka Marekani: Mkisikia nimerudi bila damu ni kwa sababu ya masuala kama haya

    Sijawahi kutoa damu ila kwa hii hela mimi niogope kutoa damu iliweje. Fikiria ukitoa damu unapata dola 10. Nikitoa mara kumi nakuwa na dola 100. Sasa chukua dola mia, nikienda kumuua Yanga akicheza na Tabora hiyo hela itakuwa sh ngapi? Haya bado pia hapo nakuwa nimeingia kwenye bahati ya...
  6. P

    Baada ya ushindi wa Trump hii ndio namna nyepesi ya kufika Marekani

    Nawapa hii mbinu wala msinishukuru. Kuja kwa Turampu ni vere ize. Angalia video below.
  7. P

    Salam kutoka US: Aliyemtendea wema huyu mama abarikiwe

    Katika harakati za kubeba boksi nikakutana na mama mmoja wa kitasha. Kimsingi kuna kitu nilikuwa nahitaji ila nilipungukiwa cash na sikuwa na card. Nikamwambia isiwe kesi niwekee nitakuja kuchukua. Yule mama akaweka label, mimi katika harakati zangu baadae nilipotezea kwenda kuchukua kile...
  8. digba sowey

    Kwa wanaojua protokali ni Sahihi mtu mwenye umri mkubwa kumsalimia mtu aliyemuzidi cheo (status), mkubwa kicheo?

    Wakuu habari za Muda huu? Naomba mwongozo juu ya yupi anayepaswa kumsalimia mwenzake ikiwa mmoja ana umri mkubwa kumliko bosi wake,mfano Mimi niwe na umri wa miaka 50 harafu bosi wangu ninaye mzidi umri awe na chini ya umri wangu,Je yupi anapaswa kutoa salamu ya shikamoo Kwa mwenzake...
Back
Top Bottom