salma kikwete

Salma Kikwete (born 30 November 1963) is a Tanzanian educator, activist, and politician who served as the First Lady of Tanzania from 2005 to 2015 as the wife of Tanzanian President Jakaya Kikwete.
Salma Kikwete originally worked as a teacher for more than twenty years.
In 2005, the government launched a national campaign for voluntary HIV/AIDS testing in Dar es Salaam. Salma Kikwete and her husband were among the first in the country to be tested. As of 2009, she was Vice President of the Eastern Region of the Organisation of African First Ladies against HIV/AIDS (OAFLA). In 2012, the First Lady Salma Kikwete, former Botswana President Festus Mogae and ten other African figures partnered with UNESCO and UNAIDS to support the Eastern and Southern Africa Commitment on HIV Prevention and Sexual Health for Young People, which was launched in November 2011.
Kikwete also founded the Wanawake na Maendeleo, or Women in Development (WAMA), a nonprofit which promotes development among women and children.
Over a year after her husband left office, Salma Kikwete was appointed to a seat in the National Assembly by President John Magufuli on 1 March 2017.

View More On Wikipedia.org
  1. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 Salma Kikwete: Atoa Pole kwa Wananchi wa Mchinga kutokana na Athari za Mvua zinazoendelea

    Ndugu zangu wananchi wa Mchinga, Napenda kuchukua fursa hii kuwapa pole kwa changamoto zinazotokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika jimbo letu. Tunatambua kuwa mvua hizi zimeleta athari kwa familia zetu, makazi, na shughuli za kila siku. Hata hivyo, napenda kuwahimiza kuwa na utulivu na...
  2. Papaa Mobimba

    Pre GE2025 Salma Kikwete: Wanawake tusifanye ajizi, rafiki wa mwanamke ni mwanamke. Tupige kura za kihistoria kwa Rais Samia

    Mbunge wa Jimbo la Mchinga, Salma Kikwete, amewahamasisha wanawake kote nchini kujitokeza kugombea nafasi za udiwani na ubunge, huku akiwataka kuwaunga mkono wanawake wenzao kwa kura nyingi, hususan mgombea wa urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan. Akizungumza katika...
  3. Mindyou

    Pre GE2025 Salma Kikwete: Sitosahau nilipogombea Ubunge na kura zangu zikahesabiwa hadharani

    Wakuu, Mbunge wa Jimbo la Mchinga na mke wa Rais mstaafu wa Awamu ya Nne, Mama Salma Kikwete, amesema kuwa moja ya kumbukumbu asizoweza kusahau maishani mwake ni wakati wa kuhesabiwa kura hadharani alipogombea ubunge. Akizungumza leo Machi 5, 2025, katika kongamano la Maadhimisho ya Siku ya...
  4. Suley2019

    LGE2024 Lindi: Salma Kikwete ajitokeza Kupiga Kura

    HABARI: Mbunge wa Jimbo la Mchinga Mkoani Lindi Mama Salma Rashid kikwete amewaongoza wananchi wa Jimbo hilo kushiriki zoezi la upigaji wa Kura kuchagua viongozi wa Serikali za mitaa, vijiji na vitongoji. Mama Salma ameshiriki zoezi hilo Katika kituo cha kupiga Kura cha Makasini kijiji cha Ruvu...
  5. Mindyou

    LGE2024 Lindi: Mbunge wa Mchinga, Salma Kikwete ajiandikisha kwenye daftari la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

    Mbunge wa Jimbo la Mchinga, Mhe. Salma Rashid Kikwete, ameshiriki katika zoezi la uandikishaji wa wakazi lililofanyika kijijini Ruvu, kitongoji cha Makasini, kata ya Mchinga, Jimbo la Mchinga, mkoani Lindi. Soma pia: Freeman Mbowe ajiandikisha Uchaguzi Serikali za Mitaa Akizungumza na viongozi...
Back
Top Bottom