saloon

A bar is a long raised narrow table or bench designed for dispensing beer or other alcoholic drinks. They were originally chest high, and a bar, often brass, ran the length of the table, just above floor height, for customers to rest a foot on, which gave the table its name. Over many years, heights of bars were lowered, and high stools added, and the brass bar remains today. The name bar became identified with the business, (also known as a saloon or a tavern or sometimes as a pub or club, referring to the actual establishment, as in pub bar or club bar etc.) is a retail business establishment that serves alcoholic beverages, such as beer, wine, liquor, cocktails, and other beverages such as mineral water and soft drinks. Bars often also sell snack foods such as potato chips (also known as crisps) or peanuts, for consumption on their premises. Some types of bars, such as pubs, may also serve food from a restaurant menu. The term "bar" also refers to the countertop and area where drinks are served. The term "bar" derives from the metal or wooden bar (barrier) that is often located along the length of the "bar".Bars provide stools or chairs that are placed at tables or counters for their patrons. Bars that offer entertainment or live music are often referred to as "music bars", "live venues", or "nightclubs". Types of bars range from inexpensive dive bars
to elegant places of entertainment, often accompanying restaurants for dining.
Many bars operate a discount period, designated a "happy hour" or discount of the day to encourage off-peak-time patronage. Bars that fill to capacity sometimes implement a cover charge or a minimum drink-purchase requirement during their peak hours. Bars may have bouncers to ensure that patrons are of legal age, to eject drunk or belligerent patrons, and to collect cover charges. Such bars often feature entertainment, which may be a live band, vocalist, comedian, or disc jockey playing recorded music.
Patrons may sit or stand at the counter and be served by the bartender. Depending on the size of a bar and its approach, alcohol may be served at the bar by bartenders, at tables by servers, or by a combination of the two. The "back bar" is a set of shelves of glasses and bottles behind the counter. In some establishments, the back bar is elaborately decorated with woodwork, etched glass, mirrors, and lights.

View More On Wikipedia.org
  1. Honda 0 Series Saloon: EV yenye muonekano wa ki-future!

    Honda nao hawajachelewa party ya EV, tushaona Honda Prologue, N-VAN e na Ye Series EV, sasa wameleta all new 0 Series Saloon. Kwa sasa wameitangaza tu prototype, mass production haijaanza ila soon itaanza. Itakua na Level 3 ADAS, air suspension, na mazaga kibao. Kilichovutia wengi zaidi ni...
  2. M

    Mchanganuo wa biashara ya saluni (vifaa/matumizi/faida)

    Salamu Wakuu Leo Napenda Kuwashirikisha Katika Mchanganuo Huu Wa Biashara Ya SALOON Hasa Ya Kiume. Biashara ya SALOON Ya Kiume ni Wazo Zuri. Hapa chini Nimekuandalia Mchanganuo Wa Biashara Hii Pamoja Na Gharama Halisi (Makadirio) Za Kuanzisha Saluni ya Kiume. KUMBUKA BEI/GHARAMA ZA VITU HAPA...
  3. Nauza saloon ya kiume (Barber shop)

    Habari zenu wakuu! Kama kichwa cha mada kinavyojieleza, nauza saloon yangu ya kiume(barbershop) iliyopo makongo stend (mageuzio). Nimepata uhamisho wa kikazi hivyo haina budi kuiuza kwani sitoweza kusimamia nikiwa nje ya dares Salam ( mkoani). Saloon iko full ina viti vya kunyolea (barbershop...
  4. Natafuta mfanyakazi wa saloon ya kike

    Wanajamvi natumai mko salama.kama nilivyodokeza hapo juu. Nahitaji mtu wa saloon,awe wa kike au wa kiume,kikubwa awe anajua kazi zote za saloon kama Kuosha wateja Kuweka Dawa Kusuka Misuko Tofauti Make Up kwa wateja Kubana styles tofauti. Saloon ni mpya,naifungua leo, Saloon ipo MKURANGA BUS...
  5. Mdada anaejua kazi za saloon

    Kama kichwa kinavyosema nahitaji mdada anaejua kazi za saloon (ya kike) Kuosha wateja Kuweka Dawa Kusuka Misuko Tofauti Make Up kwa wateja Kubana styles tofauti Na Nyingine nyingi ambazo atakua ana uelewa nazo. Saloon ni MPYA imekamilika inahutaji tu mtu wa kazi. OFISI/SALOON ipo MBEZI...
  6. M

    Siku Saloon za kiume zikigoma Wazee wengi tutaumbuka

    Nimewaza tu wazee wenzangu kuwa tuna kila sababu ya kuwashukuru wenye Barber Shop au Saloon kwa kutusaidia tusiufikirie saaaana uzee tulionao. Wengi tunapaka Black na wengine tunanyoa vipara kumaliza nywele kabisa. Lengo letu ni kuficha Mnvi na Vipara vinavyokuja naturally. Nakumbuka siku za...
  7. T

    Hii Kesha,'s saloon Sinza ichunguzwe na wanawake acheni ujinga wa kutengeneza shepu

    Wakati Mkuu wa Mkoa Dar es salaam akiendelea kupambana na makahaba na madanguro Dar aangalie na hili suala la ubakaji unaoendelea katika saloon ya Kesha's iliyopo Sinza. Ni fedheha na aibu kubwa kwa kinachoendelea ndani ya saloon hiyo kikihusisha udhalilishaji wa wazi wa mwanamke. Kwenu...
  8. Ewe mwanamke mumeo ukimkuta kwenye saloon hizi piga Makofi

    Hii ndo siri ya kambi kama hamjui nini huwa kinaendelea huko. Msiseme hamkuambiwa.
  9. Natafuta kazi ya salon

    Naitwa Edson Joseph malingumu natafuta kazi ya salon upande wa nail artist, pedicure & mancure. Kwa sasa naishi nchini uganda ndo nako nafanyia kazi Ila naitaji kurudi nchini kwangu. Nina uzoefu wa kutosha na hiyo kazi namba ya +255753255263 /+256708462740
  10. H

    Vifaa vya saloon vinauzwa

    Habarini ndugu zangu. Kuna saloon inauzwa ipo Kimara B Kwa Komba (karibu na Stopover), kama huitaji kununua saloon yote then unaweza kununua kitu utakachohtaji. Kinyozi wangu aliekua hasumbui kweny hesabu amehamia mkoani ili kuwa karbu aweze kumuuguza mama yake, namm pia nahamia mkoani kikazi...
  11. E

    INAUZWA Vifaa vya saloon ya kike vinauzwa

    Saluni ya kike inahuzwa na kila kitu kilichomo ni Vipya kbsa vina miezi mi 3 tu: Drayer ya Juu:230k Steamer:170k Handdrayer:45k Pass 50k Rollas aina 3 tofaut:50k Conditioner: 13k Taulo 5:24k Vioo vi 2:100k Viti 5:60k Sink:40k Pazia:15k Diaba:25k Ndoo 2 kumbwa na ndogo:9k Carpet: 35k Radiant 10k...
  12. Anayefahamu maudhui ya tamthilia ya saloon ya mama Kimbo kwa kizazi kijacho anijuze

    Leo jioni nikiwa kwenye kijiwe/kidukabia cha Manka hapa mtaani hasa mida kama hii nalazimika kuangalia kile wanachoangalia wateja wengine. Basi bwana kikakuta tamthilia ya saluni ya mama Kimbo Ila kila nikiangalia sioni mafunzo chanya ya kizazi kijacho nikajiuliza hivi haka katoto kanachoigiza...
  13. Vifaa vya saloon ya kike vinahitajika

    Nahitaji vifaa vya saloon ya kike kwa bei ya used mwenye navyo plz nichek 0783414538
  14. Hili la wanawake kwenda salon za kunyolewa nywele za sehemu za siri (Waxing) limekaaje?

    Sijui ni ushamba wangu au ni nini ila mimi binafsi nawaza mtu mzima mwenye miaka ya kutosha ati kila nywele zikikuota unaenda kuchanua makwapa na kipochimanyoya saloon; ati unyolewe na mtu mzima mwenzio, mwanamke au mwanaume kwa malipo! Tena unayolewa kwa kusuguliwa haswaaaa. Hili jambo...
  15. H

    Nahitaji kufungua saloon Kimara

    Naombeni ushauri wenu ndugu zangu, nina 1.5m nafikiria kufungua Saloon ya kiume maeneo ya Kimara. Je zipi ni changamoto zake na faida za kufanya biashara ya namna hii.
  16. Idadi ya wanaume inazidi kupita ya wanawake katika saloon zetu

    Ukienda saloon foleni ya wanaume wanaosuka corn row, extension, na weaving ni kubwa kuliko wanawake. Wengine hushinda hapo wakifanyiwa manicure na pedicure. Wanaume hawa wamekua washauri wetu wazuri wa nywele za kutumia kwa style mbali mbali. Tunashukuru mchango wa makaka hawa katika mzunguko...
  17. Wanawake wafungua saloon za kunyoa mitindo ya kiume

    Wimbi kubwa la wanawake wanaopenda kunyoa nywele zao kwa mitindo kama ya wanaume limezidi kuongezeka na pia Saluni nyingi za kiume zimedaiwa kushindwa kuwanyoa vizuri wanawake na kuhakikisha wanapendeza. Lakini wanawake wamekuwa wakikosa amani ya moyo (wamekuwa na hofu) pindi wanapolazimika...
  18. J

    Nifanye biashara gani ambayo naweza kuingiza laki moja kila siku

    Hello nifanye biashara gani, lengo langu nipate angalau laki moja kila siku. Binafsi napenda saloon ya kike lakini sina uhakika kama nitaingiza laki moja kwa siku. Naomba Ushauri wenu tafadhali.
  19. Engine Oil sahihi kwa Toyota Crown Royal Saloon

    Habari. Mwenye ujuzi na masuala ya Engine Oil sahihi kwa gari tajwa hapo juu yenye CC 2990 GRS 182 maana naona kama mafundi wetu ni changamoto hivi. Mwanzo niliweka Castrol iliandikwa 5W~20 na fundi akasema inaenda km 5000 nilivyocheck Google nikaona haipo sawa, ilivyofika km 3000 nikaimwaga...
  20. Biashara za wanawake kujiuza zimehamia kwenye Saloon za kiume

    Juzi Kati baada ya kumaliza mizunguko yangu ya kazi nikaona nitafute Barbershop ya kisasa inayoeleweka nifanye usafi wa ngozi. Mjini Kati nikaona Barbershop matata Full Brand ikabidi nizame ndani nikakutana na vinyozi tukala story mbili tatu baada ya hapo akatokea Dada akanikaribisha katika...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…