salum mwalimu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Li ngunda ngali

    Tetesi: Salum Mwalimu kutambulishwa CCM Jumapili

    Katibu msaidizi wa Chadema afahamikaye kwa jina la Salum Mwalimu, anatarajiwa kujiunga na CCM siku ya Jumapili mwishoni mwa Mkutano Mkuu. Logistics za mapokezi kuanzia safari ya yeye kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma usiku wa kuamkia Jumapili, zimesha andaliwa. Gari inayotarajiwa kumbeba kesho...
  2. Cute Wife

    LGE2024 Salum Mwalimu azindua kampeni Bunda mjini

    Wakuu, Pichani ni Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA, Zanzibar, Salum Mwalimu katika uzinduzi wa kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa jimbo la Bunda Mjini. Mwalimu atafanya pia mikutano ya kampeni kwenye mikoa ya Simiyu, Shinyanga, Tabora na kuhitimishi Mkoa wa Katavi.
  3. USSR

    Yuko wapi Salum Mwalimu

    Ni kiongozi mkubwa wa CHADEMA hajaonekana hadharani hasa kipindi hiki wenzake wakiwa kwenye purukushani na polisi yeye kimya. Soma Pia: Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akamatwa uwanja wa Ndege...
  4. J

    Ni Chadema hawa hawa walimpitisha Salum Mwalimu kugombea Ubunge Jimbo la Kinondoni

    Kiukweli akili za Chadema wanazijuaga wao wenyewe yaani ni Ndumilakuwili haswa. Wanasema Rais ni mzanzibar na kusahau wao walimkata Mtanganyika pale Kinondoni kwenye Uchaguzi mdogo na kulazimisha Naibu katibu mkuu wao Zanzibar Salum Mwalimu aje kugombea. Wakati mwingine Chadema ni wa kupuuzwa...
  5. chiembe

    Pre GE2025 CHADEMA yazidi "Kukunwa" na uongozi wa Rais Samia, sasa zamu ya Salum Mwalimu, ammwagia sifa kufanikisha maridhiano

    CHADEMA wameona haina haja ya kusubiri mawe yaseme, wanasema wenyewe, ilikuwa Mbowe, sasa ni zamu ya Salum Mwalimu. Kuliko abane kikohozi kimpalie, kaona bora aseme. Kiongozi huyu wa ngazi ya kitaifa, amemwaga sifa kwa Rais Samia kufanikisha maridhiano. Hakika Rais Samia ni kiongozi bora...
  6. J

    Salum Mwalimu: Uchaguzi ndani ya Chama umekaribia kila mtu mwenye Uwezo achukue fomu kugombea Nafasi yoyote

    Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA Salumu Mwalimu amewataka Wanachama wa CHADEMA wenye Uwezo, Nia na Karama ya Uongozi asisite kuchukua Fomu na kugombea Nafasi yoyote. Mwalimu alikuwa anaendesha Seminar ya Chama huko Pemba. Kumekucha!
Back
Top Bottom