Salva Kiir Mayardit (born 13 September 1951), also known as Salva Kiir, is a South Sudanese politician who has been the President of South Sudan since its independence on 9 July 2011. Prior to independence, he was the President of the Government of Southern Sudan, as well as First Vice President of Sudan, from 2005 to 2011. He was named Commander-in-Chief of the Sudan People's Liberation Army (SPLA) in 2005, following the death of John Garang.
Ni Salva Kiir Mayardit wa Sudan Kusini, Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia, Paul Kagame wa Rwanda, Felix Tshisekedi wa DRC, Yoweri Kaguta Mseveni wa Uganda, William Samoe Arap Kipchirchiri Ruto wa Kenya, Evariste Ndayishimiye wa Burundi, ama ni kipenzi cha Africa na dunia nzima Dkt. Samia Suluhu...
Sudan Kusini ni miongni mwa mataifa changa sana barani Afrika, hususani Afrika Mashariki, iliyopata uhuru wake tarehe 9 July 2011, kutoka Sudan.
takwimu za mwaka 2023 zinaonyesha kwamba Sudan Kusini ina jumla ya watu zaidi ya milioni 11.
Nchi hiyo yenye utitiri wa mali asili wa kipekee sana, na...
Waandishi wa habari wawili kati ya wanne walioshikiliwa baada ya kusambaa kwa video ikionesha suruali aliyovaa Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir Mayardit ikiwa imelowa hadharani ikitafsiriwa kuwa alikuwa akitokwa na haja ndogo wakati wa kusikiliza Wimbo wa Taifa.
Jumuiya ya Waandishi wa Habari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.