"Inaonekana kuna aina Fulani ya chuki kutokana na mafanikio ya mwanangu Mbwana, bado Mbwana ana nafasi kubwa sana katika timu ya taifa, Samatta na Msuva ni wachezaji muhimu sana kwenye taifa letu, kwa asilimia kubwa wao ndio wamesababisha tufuzu kucheza AFCON zote mbili
"Kwenye kombe la dunia...
Kikosi cha wachezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kitakachoingia kambini kujiandaa na mechi mbili za kufuzu kushiriki michuano ya mataifa Afrika (AFCON 2025).
Ally Salim(Simba SC) GK
Aboutwalb Mshery (Yanga) GK
Yona Amos (Pamba SC) GK
Lusajo Mwaikenda (Azam FC)
Nathaniel Chilambo...