UMEONA RAIS SAMIA ANAPIKA KWA NISHATI SAFI⁉️
Leo nimeona kipindi TBC Rais Dkt Samia akipika kwa kutumia nishati safi ya umeme na gesi. Kitu ambacho ni nadra na nadhani hakijawahi kutokea kwa Rais yeyote nchini kama sio Afrika nzima.
Shirika letu la TAA tunaoratibu kampeni ya kupanda miti ya...