Rais Samia akiweka Jiwe la Msingi Upanuzi wa Msikiti Mkuu wa Ijumaa Tanga Februari 26, 2025
"Mmenipa heshima kubwa sana kuja kuweka jiwe la Msingi katika Msikiti huu wenye historia kubwa na ya muda mrefu hapa Tanga na Afrika Mashariki kwa ujumla"
"Niwashukuru sana kwa maneno mazuri...