Anaandika rafiki yake na SATIVA 🧵 Taivina James ✍️
Nilitaka niandike baada ya kuona upande wetu ambao ni wa familia ni nini kitafanyika baada ya Statement ya jana lakini bado kimya. Acha niongee kwa upande wangu mwenyewe iko hivi Sativa alipotea kwa siku zaidi ya 3 mimi ndo mtu wa kwanza...
Ni kweli kwamba Watanzania kutokana na hali zao duni za kipato wanahitaji msaada wa hali na mali, lakini uduni huo usiwapelekee kudhalilishwa
Naishauri familia ya Sativa kukataa kabisa msaada wa matibabu ya kijana wao uliotolewa na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, Hii ni kwa sababu...