Wakuu,
Mpina hapa alipigwa na kitu kizito, hakuamini alichokuwa anakisikia :BearLaugh: :BearLaugh:.
Kama vile alitaka awe anaota, hajaelewa kabisa kuhusu mama ake Lucas Mwashambwa kupitishwa kugombea Urais 2025.
Sa itakuaje?:KEKLaugh::KEKLaugh::KEKLaugh:
Unadhani nini kilikuwa kinapita...