samia mitano tena

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Picha: Samia Kings (AY, Madee na Chege ) waongoza kwenye mapokezi ya Rais Samia huko Mkata

    Wasaniii wa Bongofleva Madee, AY na Chege (Samia Kings) wameshiriki kwenye shangwe za mapokezi ya Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan Mkata Mkoani Tanga ambako anaanza ziara ya kikazi leo. Soma Pia: Ziara ya Kikazi ya Rais Samia Mkoani Tanga Februari 23, 2025 Wasanii Ay, Madee na Chege...
  2. Pre GE2025 Hizi ndio taasisi zilizoanzishwa na Hayati Benjamin Mkapa. Umejifunza nini?

    Hizi ni baadhi tu ya Taasisi zilizoanzishwa na Rais Mkapa; 1. TAA 2. TCRA 3. PPRA 4. BRELA 5. EWURA 6. TACAIDS 7. SUMATRA 8. TANROADS 9. TAKUKURU 10. TRA. 11. MKUKUTA. 12.MKURABITA. Awamu ya sita ni 👇🏾 1. Samia Legal Aid 2. Goli la Mama 3. Samia App 3. Kazi Iendelee 4...
  3. P

    Kila hoja inapojibiwa na “Samia mitano tena”: kuna tatizo la afya ya akili

    Naona sasa hivi watu wako bizee kumpigia chapuo mwenyekiti wa CCM ili achaguliwe na wananchi ifikapo October mwaka huu. Hali hii inaonekana kwenye comments za vijana wa kijani ambao kila hoja utakayoleta hapa JF wao wanacomment tu Samia mitano tena. Umaskini umechangia udumavu wa akili
  4. Pre GE2025 Mbunge Nusrat Hanje (CHADEMA) akimpamba Rais Samia kwa kumuimbia mitano tena

    Huyu mbunge jau sana, ndio shida ya ubunge wa kupewa, basi tuseme ni suala la muda tu kujiweka wazi kama mwanachama wa CCM, lakini hakupaswa kuwa chawa wa Mama. Wabunge wa namna hii, wana mchango mdogo katika Taifa. Wanawaza maslahi yao badala ya maslahi Jumuishi.
  5. Pre GE2025 Mzee Wasira nani kamtuma kusemea wananchi kuwa tunaunga Rais Samia kupewa mitano tena?

    Huyu Mzee naona anakoelekea siko kabisa, ni mwendelezo wa kujikomba. Akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 48 ya CCM ametoa kauli hiyo.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…