Samora Moisés Machel (29 September 1933 – 19 October 1986) was a Mozambican military commander and political leader. A socialist in the tradition of Marxism–Leninism, he served as the first President of Mozambique from the country's independence in 1975. Machel died in office in 1986 when his presidential aircraft crashed near the Mozambican-South African border.
Very sad, Polisi wanakamata watu hapa jirani na TRA Tanzania kwa kigezo cha uzurulaji.
Hawa Polisi wanawakwida watu na kuwaingiza kwenye magari yao manne Toyota Land Cruiser yaliyopaki pembeni mwa barabara.
Hii sio sawa kabisa, hamna ajira bado watu mnawaita wazuraji. Wapeni watu KAZI, wapeni...
Samora Machel alikuwa Rais wa kwanza wa Mozambiki na kipenzi sana cha Rais Nyerere na kaunda. Alifariki kwa ajali ya ndege mwaka 1986 akitokea Lusaka kurudi Maputo na ndege yake (Tupolev Tu-134) ikaanguka kwenye vilima vya Mbuzini huko South Africa. Uchunguzi haukuwa conclusive ila idara ya...
Ajali mbaya iliyohusisha gari ya Mwendokasi na Gari binafsi ya kifahari aina ya Range Rover imetokea kwenye njiapanda ya mtaa wa Kisutu na Samora, majeruhi wamesha ondolewa kwenye eneo la tukio. Taarifa zaidi zitakujia.
Baada ya kuchoshwa na uonevu wa askari wa jiji ambao wamekua wakiwavamia machinga na kuharibu mali zao.
Leo askari hao wameonja joto ya jiwe baada ya kupokea kipigo na kuamua kukimbia na virungu vyao.
Hiyo ni salamu tosha kabisa kwa wahusika kuachana na utaratibu huu unaokiuka utu kwa raia...
30 October 2021
Part 1:
Bi Naila Majid Jidawi mwenye umri wa miaka 77, anasimulia kuhusu mumewe, Marehemu, Kanali Ali Mahfoudh, aliyezaliwa na kukulia Zanzibar, akapata mafunzo ya kijeshi Cuba na akawa miongoni mwa walioshiriki kuipindua serikali ya uhuru ya Zanzibar mwaka 1964, lakini...
Msanii Ras Mtimanyongo anasema kamwe Wamachinga hawawezi kuondoka Kariakoo kwa sababu ndio sokoni kuanzia nchi hii ijitawale.
Mtimanyongo anasema Wafanyabiashara kwao ni Samora zamani Independence avenue na Kitumbini na ndio maana hadi sasa hata vijiduka vya kariakoo ni vya ujanja ujanja tu...
Kuna jamaa nimekuta wanahoji mahali juu ya huyu Jamaa anaitwa Samora ambaye ni fundi viatu wa muda mrefu pale IFM na sasa amehamia Dodoma, wanasema jamaa ndie aliyekua anatoa connection za kazi kwa wanafunzi wengi sana kwa Maboss wa BoT na Watu mabalimbali.
Je, Samora ni nani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.