ASILI YA UGOMVI WA EDWARD LOWASSA NA SAMUEL SITTA
MWAKA 1995, ilianza misheni ya kumshawishi Dk Salim Ahmed Salim, aachane na ukatibu mkuu wa OAU, arejee kuchukua fomu ya kugombea urais kupitia CCM.
Misheni hiyo ilipofeli, wazee, Mwalimu Nyerere na Mzee Rukhsa, walimketisha Jakaya...
Wadau salaam! Nimeota ndoto usiku. Nimewaota waliokuwa mahasimu wakubwa katika siasa Hayati Edward Lowassa na Hayati Samwel Sitta.
Ndoto yenyewe iko hivi:- Hayati Samwel Sitta alikuwa amealikwa katika harambee kanisani. Na yeye akamualika Edward Lowassa. Wakiwa kanisani, Lowassa akapewa mic...
Mhariri Mtendaji wa gazeti la Tanzania Daima ambaye pia ni mwenyekiti wa jukwaa la Wahariri nchini Bw Absolom Kibanda ametoa matamshi makali dhidi ya Samwel Sitta kwa kumwambia kuwa yeye (Sitta) si mpambanaji kama anavyojifanya lakini kali ya yote amemwambia kwasasa hana muda wa kupoteza...
Heshima mbele watanzania. Katika kibwagizo cha kile kipindi cha dakika45 kinachorushwa na itv, waziri sitta anatupiwa swali na uchokozi kuhusu msimamo wake kwenye swala la Richmond. Bila kumumunya maneno anabainisha kuwa Richmond ni kikundi cha "wahuni" wachache na hivyo si haki wala wajibu wa...
*Aapa kamwe hatakubali serikali kuilipa Dowans
*Asema iliirithi Richmond isiyotambuliwa kisheria
*Wanaharakati watangaza siku 10 za maandamano
*Yaelezwa TANESCO kukata rufaa changa la macho
Na Waandishi Wetu
SIKU chache baada ya Mahakama Kuu kusajili tuzo ya malipo ya sh. bilioni 94...
Parliament to discuss EPA, Richmond -Speaker
2008-06-01 10:45:11
By Staff Reporter
The Speaker of the National Assembly, Samuel Sitta, said yesterday the coming budget session of the Union Parliament will discuss the External Arrears Payment Account and the Richmond power contract scandals...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.