samwel sitta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Meneja Wa Makampuni

    Wingereza wanamhitaji Trump aongoze kidogo nchi yao

  2. Tajiri wa kusini

    Chanzo cha ugomvi kati ya Samwel Sitta na Edward Lowassa

    ASILI YA UGOMVI WA EDWARD LOWASSA NA SAMUEL SITTA MWAKA 1995, ilianza misheni ya kumshawishi Dk Salim Ahmed Salim, aachane na ukatibu mkuu wa OAU, arejee kuchukua fomu ya kugombea urais kupitia CCM. Misheni hiyo ilipofeli, wazee, Mwalimu Nyerere na Mzee Rukhsa, walimketisha Jakaya...
  3. K

    Ndotoni Hayati Edward Lowassa na Hayati Samwel Sitta

    Wadau salaam! Nimeota ndoto usiku. Nimewaota waliokuwa mahasimu wakubwa katika siasa Hayati Edward Lowassa na Hayati Samwel Sitta. Ndoto yenyewe iko hivi:- Hayati Samwel Sitta alikuwa amealikwa katika harambee kanisani. Na yeye akamualika Edward Lowassa. Wakiwa kanisani, Lowassa akapewa mic...
  4. K

    Absalom Kibanda: Kilichobaki ni Kuandika kitabu cha Maovu yako Samwel Sitta!

    Mhariri Mtendaji wa gazeti la Tanzania Daima ambaye pia ni mwenyekiti wa jukwaa la Wahariri nchini Bw Absolom Kibanda ametoa matamshi makali dhidi ya Samwel Sitta kwa kumwambia kuwa yeye (Sitta) si mpambanaji kama anavyojifanya lakini kali ya yote amemwambia kwasasa hana muda wa kupoteza...
  5. Mpui Lyazumbi

    Wakuu, waziri Sitta ananichanganya kuhusu Richmond. Ukweli ni upi?

    Heshima mbele watanzania. Katika kibwagizo cha kile kipindi cha dakika45 kinachorushwa na itv, waziri sitta anatupiwa swali na uchokozi kuhusu msimamo wake kwenye swala la Richmond. Bila kumumunya maneno anabainisha kuwa Richmond ni kikundi cha "wahuni" wachache na hivyo si haki wala wajibu wa...
  6. nngu007

    Sitta: DOWANS iliirithi Richmond isiyotambuliwa kisheria; Aapa kamwe hatakubali serikali kuilipa!

    *Aapa kamwe hatakubali serikali kuilipa Dowans *Asema iliirithi Richmond isiyotambuliwa kisheria *Wanaharakati watangaza siku 10 za maandamano *Yaelezwa TANESCO kukata rufaa changa la macho Na Waandishi Wetu SIKU chache baada ya Mahakama Kuu kusajili tuzo ya malipo ya sh. bilioni 94...
  7. The Khoisan

    Kumekucha: Parliament to discuss EPA, Richmond -Speaker

    Parliament to discuss EPA, Richmond -Speaker 2008-06-01 10:45:11 By Staff Reporter The Speaker of the National Assembly, Samuel Sitta, said yesterday the coming budget session of the Union Parliament will discuss the External Arrears Payment Account and the Richmond power contract scandals...
Back
Top Bottom