Nimeona heading Kwenye gazeti la Nipashe kwamba kuna kifo cha kutatanisha cha Mfugaji aliyefia Mahabusu
Polisi wamedai amejinyonga kwa kutumia Chupi yake
Ngoja nilisake gazeti nilete habari yote!
---
MFUGAJI aliyetambulika kwa jina la Samweli Bulunde, anadaiwa kufariki dunia baada ya...