sanamu la askari posta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. TANROADS: Mradi wa BRT Awamu ya Tatu Dar, hautaondoa wala kugusa SANAMU YA ASKARI iliyopo makutano ya Mtaa wa Azikiwe na Samora

    Tunapenda kufafanua taharuki iliyozuka leo kwenye mitandao ya kijamii kuhusu Askari Monument ya Dar es Salaam. Ni kwamba ujenzi unaoendelea katika Mradi BRT Awamu ya Tatu hautaondoa wala kugusa SANAMU YA ASKARI iliyopo makutano ya Mtaa wa Azikiwe na Samora. Hata hivyo, kutokana na ufinyu wa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…