santiel kirumba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Santiel Kirumba agawa Mitungi ya Gesi 200 kwa Wakunga wa Shinyanga DC na Manispaa

    Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Santiel Eric Kirumba mnamo tarehe 9/7/2024 alishiriki kugawa Mitungi ya Gesi kwa Wakunga wa Shinyanga DC na Shinyanga Manispaa kuwahamasisha kutumia nishati mbadala "Tunatambua majukumu waliyonayo Wakunga, ili kutimiza majukumu yao kwa haraka...
  2. Suley2019

    Pre GE2025 Mbunge Santiel Kirumba: Kila laini ikatwe Tsh. 50 tujenge barabara

    Mbunge wa Viti Maalum Santiel Eric Kirumba ameishauri Serikali kuweka makato ya Tsh. 50 kwa kila laini ya simu kwa ajili ya Mfuko wa Barabara (Road Fund) ili kuuwezesha kuwa na makusanyo yatakayowezesha ujenzi na ukarabati wa barabara Nchini. Kirumba ameshauri hilo leo May 30,2024 wakati...
Back
Top Bottom