HAKUNA HAKI BILA UWAJIBIKAJI KATIKA UTUMISHI WA UMMA
Watumishi wapya kutoka Ofisi ya Wakili Mkuu Mkuu wa Serikali wametakiwa kuwajibika ipasavyo katika kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao kwa weledi kwa kuwa hakuna haki bila uwajibikaji katika Utumishi wa Umma.
Hayo yamesemwa leo tarehe 4...