Nafikiri kuna haja ya Mahakama kuweka taratibu fulani za kuhakikisha mavazi wanayovaa watuhumiwa na washitakiwa wakiwa mahakamani hayana maandiko, picha au nembo yoyote.
Nimeona kuna mtuhumiwa wa ubakaji kafikishwa mahakamani akiwa ametupia jezi ya Ajax. Hii inaweza kutafsiriwa kama ni kuchafua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.