satelite

Ciudad Satélite (lit. transl. Satellite City), commonly known as Satélite, is a Greater Mexico City upper middle class suburban area located in Naucalpan, State of Mexico. Officially, the name corresponds exclusively to the homonym neighborhood, Ciudad Satélite, founded circa 1957. With time, the area surrounding it, including upper-class neighborhoods like Lomas Verdes, Echegaray, Paseos del Bosque or Colonial Satélite, alongside adjacent municipalities Atizapán de Zaragoza and Tlalnepantla de Baz, have become collectively known as "Satélite", due to its prominence as both an economically and socially dynamic area.Initially conceived as "a city outside the city", in response to the increasing population of Mexico City's upper classes, it was one of Mexico's most prominent architectural ventures of the 20th century. Designed and built by Mexican architects Mario Pani and José Luis Cuevas Pietrasanta on grounds of then president Miguel Alemán's family ranch, "Los Pirules", which was purchased from the Fuentes-Centurion family on the hacienda "Los Chabacanos," it quickly rose to prominence among city dwellers wishing to acquire property outside the city proper.

View More On Wikipedia.org
  1. Kidagaa kimemwozea

    Nchi za Afrika zilizofanikiwa kurusha satelite zao katika anga mbalimbali

    Nchi za Afrika hupeleka satelaiti zao anga za mbali kwa sababu mbalimbali, ikiwemo kufanya tafiti za kilimo na kurahisisha upatikanaji wa huduma za mawasiliano. Ifuatayo ni orodha ya nchi za Afrika ambazo zimefanikiwa kurusha satelaiti zao kwenda anga za mbali. chanzo TRT Soma Pia: Afrika...
  2. Webabu

    Israel yavuna ilichopanda, Raia wote watakiwa kusafisha mahandaki ili wakimbilie humo na Mawaziri wapewa simu za satelite

    Kwa kuhofia kipigo cha Iran kinachokuja serikali ya Netanyahu imewaamuru watu wote kujiandaa kupokea kipigo kutoka Iran na kwamba wasafishe mahandaki yao tayari kuishi humo. Wakati huo huo Mawaziri wote nao wamepewa simu za satelite ambazo hazitumii minara ya simu kwa kujua minara hiyo ni...
  3. John Sule

    SoC04 Uwekezaji katika umiliki/matumizi ya satelite nchini tanzania kwa manufaa ya taifa

    UTANGULIZI: (TAARIFA YA TCRA). 12 Mei 2024, mnamo majira ya saa tano asubuhi, kulikuwa na tatizo la upatikanaji wa huduma ya intanenti nchini. Taarifa za awali zimeonesha kuwa tatizo hilo lilisababishwa na hitilifu kwenye MKONGO WA MAWASILIANO WA BAHARINI wa kampuni za SEACOM na EASSY kati ya...
  4. Replica

    Nape Nnauye: Tanzania kuwa na Satelaiti yake kama backup ya internet, Mkongo uliokatika kuchukua siku 7 zaidi kutengamaa

    Akiwa kwenye kipindi cha Power Breakfast cha Clouds FM leo May 15, Waziri wa teknolojia na habari, Nape Nnauye ameongelea changamoto ya Internet nchini na mipango ya kuliepuka janga kama hili siku za baadae. Kuhusu mkongo uliokatika amesema bado una siku si chini ya saba mbele ili kutengemaa...
  5. Webabu

    Iran warusha satelite 3 kwa mpigo na kwa mafanikio.Saudi Arabia wafungua bar ya mwanzo ya ulevi na viwanja vya kujirusha.

    Baada ya majaribio kadhaa kushindwa kuingiza satelite kwenye orbit,leo Iran imefanikiwa kurusha satelite 3 kwa mpigo na kwa mafanikio. Mafanikio hayo yamekuja siku chache baada ya taifa la Saudi Arabia kutangaza kufungua duka kubwa la kisasa la kuuzia ulevi. Iran successfully launches 3...
  6. JanguKamaJangu

    Serikali ya Tanzania yaanza mchakato wa kuunda Satelaiti yake

    Serikali imesema inatambua umuhimu wa nchi kuwa na satelaiti na kwamba katika mwaka huu wa fedha imeanza kuandaa utaratibu wa awali utakaowezesha kuunda na kurusha satelaiti yake angani. Aidha, imesema ili kuwezesha kufikia azma hiyo tayari imeunda andiko dhana na kuunda timu ya watalaamu...
  7. KENZY

    Kambi za Jeshi Tanzania zina vizuizi vya kuzuia picha zipigwazo na satelite?

    Kwa sisi raia wa kawaida tumewekewa sheria kuwa haturuhusiwi kupiga picha kambi ya jeshi zaidi zile zenye taarifa muhimu za jeshi. Ndio sipingi na ni sahihi maana kwa kutumia picha tu adui anaweza kupata taarifa nyingi na ikawa ni angamizo kubwa. Hivi sasa tupo kwenye ulimwengu wa teknolojia...
  8. Suley2019

    Picha za Satelite zaonesha harakati za kijeshi nchini Urusi

    Picha za hivi karibuni zilizotolewa na kampuni ya ujasusi ya teknolojia ya anga ya Marekani Maxar zinaonyesha kwamba shuguli za kijeshi za jeshi la urusi zimeendelea kuwepo karibu na mipaka yake na Ukraine, licha ya madai ya hivi karibuni ya Urusi ya kuondoa vikosi vyake kwenye mipaka hiyo...
  9. R

    Satelite internet in Tanzania

    Habar wadau hope kila mtu leo upo home wiki iliopita nilianzisha mada ya fiber internet na kila kitu kikawa sawa kila mtu anajua kuwa unternet ni muhimu katika kusaka saka huku na kule niligundua kuwa kuna kampuni zaidi ya saba zinafanya fiber internet hapo city centre nazo ni TTCL ZUKU LIQUID...
  10. M

    Computer4Sale Laptop -Toshiba Satelite C855

    Habarini wote, Laptop iko sokoni: Toshiba Satelite C855 RAM:8gb HD 200gb Processor:Intel Pentium R -2.3ghz(2cpus) Windows 10 Pro:64Bits Bei ya kugombaniwa -200,000 Njoo kwa inbox tufanye biashara
  11. YEHODAYA

    Dr Alinda Mashiku: Mtanzania anayeongoza kitengo cha NASA kinachosimamia Satelite zisigongane angani

    Wakati wanaume Tanzania hujisikia sana kuwa matraffic Barabarani kuongoza Magari Kutana na Mama mtanzania Dr Alinda Mashiku anayefanya Shirika La NASA Marekani anayeongoza Sattelite duniani zisigongane Angani .Wanawake wanaweza Huyu akija Tanzania Traffic waongoza magari Wanaume lazima wakimbie...
Back
Top Bottom