saut

St. Augustine University of Tanzania (SAUT) is a private university in Mwanza, Tanzania. It was founded by the Catholic Bishops of Tanzania in 1998 (accredited in 2002) as a secular, nonprofit, private institution. Before 1998, SAUT was called first Nyegezi Social Training Centre and then Nyegezi Social Training Institute. SAUT has over 10,000 students with an anticipated minimal rise each new academic year. The university attracts students from Tanzania and elsewhere, particularly Kenya, Uganda, Sudan, Ethiopia, Burundi, Malawi, Zambia, and recently Germany and other foreign nations. SAUT admits students of all nationalities and religious affiliations.

SAUT extends over 600 acres (2.4 km2) in the Nyegezi-Malimbe area, 10 km south of Mwanza on the shores of Lake Victoria. The university is divided into two campuses. The main campus (old campus) houses the administration buildings and the Faculty of Business Administration. The Malimbe campus, located one km away, is home to the Faculty of Law, Social Sciences, Engineering, Business Administration, Education and Mass Communication.

View More On Wikipedia.org
  1. Roving Journalist

    Msemaji wa Chuo Kikuu cha SAUT ajibu madai ya mfumo wao wa Matokeo kuchezewa na baadhi ya watu, asema upo imara

    Baada ya Mwanachama wa JamiiForums.com kudai kuwa kuna changamoto kadhaa ndani ya mfumo wa Chuo Kikuu cha SAUT (Augustine University of Tanzania - SAUT), ufafanuzi umetolewa. Mwanachama huyo alidai kuna baadhi ya Watu ambao sio waaminifu wakiwemo baadhi ya Watumishi wa taasisi hiyo wamekuwa na...
  2. ngara23

    Tuliosoma SAUT MWANZA ( main campus) tukutane hapa

    Binafsi nimepata maari ya kutosha kutoka saut Mwanza Nimehitimu pale 2015 Chuo cha SAUT kimetoa wanasiasa wanaojiamini na wanalitumikia Taifa Kwa uadilifu Baadhi ya wanasiasa ni Naibu waziri mkuu Ditto Biteko, David Kafulila, Heche, Malisa, n. K Mtu aliyesoma SAUT laZima awe na maarifa ya...
  3. B

    Balozi Hoyce Temu ahitimu Phd chuo kikuu SAUT

    Hoyce Anderson Temu, aliyezaliwa Machi 1978 katika Hospitali ya Mount Meru mjini Arusha. Alianza safari yake ya masomo katika Shule ya Msingi Matemboni Old Moshi mkoani Kilimanjaro na kuhamia Arusha katika shule ya Msingi Uhuru na baadaye kujiunga na Shule ya Sekondari Arusha, ambako alifanya...
  4. Dalton elijah

    Mahafali ya Chuo Kikuu cha Saut Kufanyika Leo

    Adhimisho la Ibada ya Misa takatifu katika mahafali ya 27 ya Chuo Kikuu cha Mt. Agustino cha Tanzania, yanafanyika leo Desemba 21, 2024 katika Viwanja vya Raila Odinga, chuoni hapo Ibada hiyo imeongozwa na Askofu Mstaafu Method Kilaini, wa Jimbo Katoliki la Bukoba Kabla ya mahafali Zoezi la...
  5. A

    DOKEZO Chuo cha SAUT-Mwanza hakitatui matatizo ya wanafunzi kwa wakati

    Nina kero ya kutotatuliwa changamoto ya kimatokeo zaidi ya mwaka mzima, kutoka katika chuo Kikukuu cha mtakatifu Augustino Mwanza, amabapo kero hii imekuwa ikawakumbuka wanafunzi wengi hususani katika somo la kifaransa ambalo lilikuwa somo la lazima na baadae kulifanya somo la hiari kwa baadhi...
  6. A

    KERO Chuo Kikuu cha SAUT boresheni ukumbi uendane na idadi ya Wanafunzi, tunajazana sana Ukumbini

    Hiki unachokiona kwenye picha hapo siyo kwamba watu wapo kwenye shoo ya muziki, hapo ni Ukumbini katika Chuo Kikuu cha SAUT au Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agostino Tanzania (St. Augustine University of Tanzania - SAUT MAIN CAMPUS). Wanafunzi tumejaa katika Ukumbi wa chuo kiasi kwamba wengine...
  7. Cute Wife

    Aliyekuwa RC wa Simiyu, Dkt Nawanda ashinda kesi ya “kumlawiti Mwanafunzi”, asema anamuachia Mungu

    Wakuu, Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dkt. Yahaya Nawanda ameachiwa huru baada ya kushinda kesi aliyokuwa akituhumiwa ya kumlawiti Mwanafunzi wa Chuo iliyokuwa ikieneshwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi. Dkt. Nawanda alifikishwa Mahakamani kwa mara ya kwanza Julai 9, 2024 na kusomewa...
  8. GENTAMYCINE

    SAUT pekee ndiyo Chuo Kikuu kisichojipendekeza kwa wanasiasa kwa kutoa PhD zisizo na maana

    Kama kuna Mzazi ambaye hujampeleka Mwanao kusoma SAUT Mwanza jua umepoteza bahati Kubwa na Ijutie sana.
  9. GENTAMYCINE

    Napendekeza waanze haraka sana hili Zoezi na Mwamposa na Mwacha kwani nina uhakika nao wana Changamoto hii tajwa na Padri Sanga wa SAUT Mwanza

    Baadhi ya wasomi wa Biblia na viongozi wa dini wameshauri kitengenezwe chombo kitakachofuatilia mienendo ya wahubiri na wachungaji pamoja na kuwapima afya ya akili kabla ya kuruhusiwa kuhubiri. Ushauri huo umetolewa leo Alhamisi Novemba 14, 2024 kwenye kongamano la kiukemene kujadili imani moja...
  10. P

    Chuo cha SAUT badilikeni, Chuo kama shule ya msingi

    Lengo la huu Uzi sio kubeza wala kudharau taasisi muhimu hii ya Elimu ya juu nchini, bali kutoa ushauri kwa lengo la kuboresha mazingira ya chuo,ambayo kimsingi hayavuti Sawa na hadhi ya Chuo Kikuu. Ni mambo ya ajabu chuo kuwa kinakusanya mabilioni ya fedha na Kuna kipindi kilitoa gawio kwa...
  11. Yoda

    Wajuzi wa sheria: Tuhuma za ubakaji na ulawiti zina dhamana?

    Nimesoma taarifa ya kuachiliwa kwa dhamana mahakamani aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Simuyu, Yahaya Nawanda kwa tuhuma zinazomkabili za ulawiti. Zaidi soma: Dkt. Yahaya Nawanda apandishwa Kizimbani kwa Tuhuma za Ulawiti, aachiwa kwa dhamana Kwa wajuzi wa sheria, Tuhuma za ubakaji na ulawiti zina...
  12. cold water

    Naomba kufahamu machache kuhusu Chuo cha SAUT Songea mkoa wa Ruvuma

    Kwa mliosoma chuo hiki cha SAUT kama "St Augustive" naomba kujua yafuatayo: Je, Kimesajiliwa? Je, Kinatoa course ya accountancy degree? Nahitaji kuanza masomo ya account "degree". Nisije nikapoteza pesa na muda hapo maana vyuo vya mkoa wa Ruvuma sijawahi kuvielewa kabisa.
  13. D

    I hope using english will make intellectuals understand not these youths of nowadays from SAUT. MUMU, SJUT, kampala etc.

    Yester Night i wrote on the nincompoops of our youths from the above mentioned universities. The big problem is lacking technical know hows about some critical issues and analysis. The fact that every matter that has risen is taken as it is through praises and/or support without any scrutiny is...
  14. Cute Wife

    LHRC yatoa tamko kulaani kitendo cha mwandishi kukamatwa, inasemekana ndiye wa kwanza kuripoti tukio la RC kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

    TAARIFA KWA UMMA KUKEMEA UDHIBITI WA UHURU WA HABARI NA UNYANYASAJI WA WAANDISHI WA HABARI Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kimepokea kwa masikitiko taarifa za kukamatwa kwa mwandishi wa habari, Bi. Dinna Maningo, aliyekamatwa nyumbani kwake Tarime, mkoani Mara, Juni 13, 2024 saa mbili...
  15. JanguKamaJangu

    Mwandishi aliyeandika tuhuma za RC Simiyu adaiwa kukamatwa na Polisi

    Kuna taarifa za kukamatwa kwa Mwandishi wa Habari, Dinna Maningo ambae pia ni mmiliki wa Dima Online aliyechapisha kwa mara ya kwanza taarifa ya tuhuma za aliyekuwa RC Simiyu kulawiti, mwandishi huyu amekamatwa Tarime usiku wa kuamkia Juni 13, 2024. Taarifa za awali zinadai kuwa mwandishi huyu...
  16. chiembe

    Chuo Kikuu cha SAUT kwanini hatujasikia tamko lenu kulaani kitendo cha ukatili wa kingono kwa mwanafunzi wenu?

    Nilitarajia Chuo Kikuu cha SAUT ambacho kimetajwa sana katika mitandao kuhusu tukio la mmoja wa wanachuo, walau kiseme kaneno kamoja kuhusu jamii inayoishi hapo na maadili. Labda pengine kitendo kilichofanywa ni cha kawaida kwa wanafunzi wao. Wazazi wenye watoto hapo SAUT roho ziko juu juu...
  17. Pfizer

    Naibu Waziri Mkuu Biteko: Aliyemkubwa na amfanye mdogo pia apate furaha kazini

    "Siyo sawa, aliyemkubwa na amfanye mdogo pia apate furaha kazini," Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko akizungumza katika Mkutano wa Kumi na Moja wa Kitaaluma wa Makatibu Mahsusi Tanzania uliofanyika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
  18. Dalton elijah

    TANZIA Mwanafunzi SAUT afariki akiwa ameenda kuogelea ziwani

    Mwanafunzi Wa Chuo kikuu Cha SAUT Campus ya Mwanza Amefariki Dunia Alipokuwa Ameenda kuogolea Kando Kando Kando ya Ziwa Victoria Maeneo ya Sweya Beach. Taarifa hiyo ilitolewa Na Wenzake Ambao walikuwa wameenda Nao kuogolea katika Maeneo hayo ya Kando kando ya Ziwa Na Na Kifo hicho kimetokea...
  19. comte

    Maswahiba wa Fr. Kitima SAUT waiisababishia SAUT hasara

    Wakati akiwa makamu mkuu wa chuo SAUT Fr. Kitima aliwalela na kuwaingiza kwenye ajira vijana aliowaamini ambao walikuja kutengeneza mchongo wa kuiba ada huku wakitoa risiti bandia za chuo. Mchongo huu ndio chanzo cha kesi iliyoamuliwa na mahakama ya rufaa na kuitalka SAUT ilipe fidia ya 30M...
  20. peno hasegawa

    Wanafunzi Chuo cha SAUT wapigania haki miaka 12

    Waliokuwa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha St Augustine Mwanza wameshinda kesi dhidi ya Bodi ya wadhamini ya chuo hicho baada ya kupigania haki kwa miaka 12 na Mahakama kuamuru walipwe fidia ya Sh30 milioni. Hukumu hiyo ilitolewa Februari 24, 2023 na jopo la majaji watatu wa Mahakama ya Rufani...
Back
Top Bottom