sauti bandia uwanjani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Azam TV jiongezeni mtuwekee sauti bandia za mashabiki mechi ya Simba vs Constantine

    Tunakubali Simba tuko kifungoni ila Azam TV watakuwa wazalendo sana wakiweka sauti bandia za mashabiki ili kunogesha matangazo yao ya mechi hiyo. Wenzetu huko walikoendelea ndiyo wanafanyaga pale mechi zinapochezwa bila mashabiki. Magoli ya Ateba na Mpanzu (2) ya siku hiyo yanastahili kelele...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…