Sauti ya Umma (SAU, People's Voice) is a political party in Tanzania. The party was registered on 17 February 2005.
In elections for the Zanzibar Presidency and House of Representatives on 30 October 2005, SAU presidential candidate Mariam Omar won 0.07% of the vote. The party failed to win any seats in concurrent House of Assembly elections.
In elections held on 14 December 2005, SAU presidential candidate Paul Henry Kyara placed last out of ten candidates, winning 0.14% of the vote. The party failed to win any seats in National Assembly elections held on the same day.
Katibu Mkuu wa chama cha Sauti ya Umma SAU, Majaliwa Kyara amesema ili kulinda maadili, kuimarisha malezi na kutunza nguvukazi ya Taifa, kuelekea mwaka 2050 ni muhimu wanawake waajiriwa wakawa na muda mfupi zaidi kazini.
Kyara amebainisha hayo Jumamosi Desemba 14, 2024 wakati akitoa maoni...
Wakuu,
Hivi haya mambo ya usawa wa kijinsia yatawezekana kweli?
================
Katibu Mkuu wa chama cha Sauti ya Umma SAU, Majaliwa Kyara amesema ili kulinda maadili, kuimarisha malezi na kutunza nguvukazi ya Taifa, kuelekea mwaka 2050 ni muhimu wanawake waajiriwa wakawa na muda mfupi...
Nasikitika nilichogundua Ugumu wa maisha siyo kwa wote
Kuna wengine kama wale wanawekewa mafuta kwenye gari serikali ,wanaletewa vyakula nyumbani na serikali
watoto wanasomeshwa na serikali ,hawa wakisikia mafuta kupanda bei wanaona kama hadithi tu.
Nchi isingepitiwa na bahari hii ingekuwa...
Hakuna mtanzania anayefurahi kuona kuna mgao wa umeme, kuona mradi muhimu kama JNHP unachelewa kwa mizengwe, na kuona mradi kama bandari ya Bagamoyo unapigiwa debe huku kuna bandari ya Tanga na Dsm.
Watanzania wenye nia njema na taifa lao wapo na wewe. Pambana na usikate tamaa mpaka mwisho...
CHAMA CHA SAU CHAWASHAURI WANASIASA KUIUNGA MKONO SERIKALI YA AWAMU YA 6
Katibu Mkuu wa Chama cha siasa cha Sauti ya Umma (SAU ) Majalio Kyara akizungumza na Mtandao huu+ ofisini kwake Mgomeni Kagera jijini Dar es salaam.
NA MUSSA KHALID DAR ES SALAAM
Katibu Mkuu wa Chama cha siasa cha Sauti...
YALIYOMO;
1. UTANGULIZI
2. VIPAUMBELE VYA SERIKALI YA SAUTI YA UMMA(SAU)
3. AFYA
4. ELIMU
5. MAJI
6. KILIMO MIFUGO NA UVUVI
7. MALI ASILI
8. MIUNDO MBINU
9. VIWANDA NA BIASHARA
10. SANAA UTAMADUNI NA MICHEZO
Kwanza Kabisa Nimshukuru Mwenyezi Mungu Kwa Kutuongoza Na Kutusimamia Katika Safari Na...
HABARI,
Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC mapema tarehe 25 Agosti 2020 ilimteua Ndugu MWAKASAKA BOAZ DONARD kuwa mgombea ubunge Jimbo la Ubungo kupitia Chama Cha Sauti ya Umma (SAU). Mwakasaka ni mtaalamu wa masuala ya Uchumi na Maendeleo ya kijamii ameahidi kutokomeza yote yaliyoshindikana katika...
Chama cha Sauti ya Umma (SAU) kinakusudia kuweka wagombea katika majimbo na kata zote Tanzania Bara na Visiwani katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi oktoba 2020 (Mwaka huu).
Katibu Mkuu wa chama hicho Ndugu Majalio Paul Kyara amesema bado milango iko wazi kwa wanachama...
Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Mwibara kwa kipindi cha miaka 10 mfululizo kuanzia mwaka 1995 hadi mwaka 2005 Mheshimiwa MUTAMWEGA MGAYWA amepitishwa kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Sauti ya Umma (SAU) katika Uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi octoba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.