sauti ya umma

Sauti ya Umma (SAU, People's Voice) is a political party in Tanzania. The party was registered on 17 February 2005.
In elections for the Zanzibar Presidency and House of Representatives on 30 October 2005, SAU presidential candidate Mariam Omar won 0.07% of the vote. The party failed to win any seats in concurrent House of Assembly elections.
In elections held on 14 December 2005, SAU presidential candidate Paul Henry Kyara placed last out of ten candidates, winning 0.14% of the vote. The party failed to win any seats in National Assembly elections held on the same day.

View More On Wikipedia.org
  1. Sauti ya Umma

    Katbu mkuu wa chama cha Sauti ya umma (SAU) ndugu Kyara awasha moto

  2. Sauti ya Umma

    Pre GE2025 Katibu Mkuu wa chama cha Sauti ya Umma, Majaliwa Kyara kulinda maadili, kuimarisha malezi na kutunza nguvukazi ya Taifa

    Katibu Mkuu wa chama cha Sauti ya Umma SAU, Majaliwa Kyara amesema ili kulinda maadili, kuimarisha malezi na kutunza nguvukazi ya Taifa, kuelekea mwaka 2050 ni muhimu wanawake waajiriwa wakawa na muda mfupi zaidi kazini. Kyara amebainisha hayo Jumamosi Desemba 14, 2024 wakati akitoa maoni...
  3. Mindyou

    Katibu wa Chama Cha Sauti Ya Umma ataka wanawake nchini wafanye kazi masaa 6 kwa siku, kisha warudi majumbani!

    Wakuu, Hivi haya mambo ya usawa wa kijinsia yatawezekana kweli? ================ Katibu Mkuu wa chama cha Sauti ya Umma SAU, Majaliwa Kyara amesema ili kulinda maadili, kuimarisha malezi na kutunza nguvukazi ya Taifa, kuelekea mwaka 2050 ni muhimu wanawake waajiriwa wakawa na muda mfupi...
  4. Sauti ya Umma

    SAU yazindua kauli mbiu mpya

    Leo chama cha Sauti ya Umma(SAU ) kimezindua kauli mbiu mpya ya chama isemayo SALA NA KAZI kauli mbiu hiyo itakuwa moja ya sera za chama.
  5. MakinikiA

    Mabilioni ya ruzuku kwenye mafuta bora yangefanya kazi nyingine tu

    Nasikitika nilichogundua Ugumu wa maisha siyo kwa wote Kuna wengine kama wale wanawekewa mafuta kwenye gari serikali ,wanaletewa vyakula nyumbani na serikali watoto wanasomeshwa na serikali ,hawa wakisikia mafuta kupanda bei wanaona kama hadithi tu. Nchi isingepitiwa na bahari hii ingekuwa...
  6. Nyankurungu2020

    Polepole usikate tamaa kutetea rasilimali za taifa lako, watanzania wapo pamoja na wewe. Sauti ya umma ni sauti ya Mungu.

    Hakuna mtanzania anayefurahi kuona kuna mgao wa umeme, kuona mradi muhimu kama JNHP unachelewa kwa mizengwe, na kuona mradi kama bandari ya Bagamoyo unapigiwa debe huku kuna bandari ya Tanga na Dsm. Watanzania wenye nia njema na taifa lao wapo na wewe. Pambana na usikate tamaa mpaka mwisho...
  7. Sauti ya Umma

    SAU yawashauri wanasiasa kuendelea kuiunga mkono Serikali ya awamu ya 6

    CHAMA CHA SAU CHAWASHAURI WANASIASA KUIUNGA MKONO SERIKALI YA AWAMU YA 6 Katibu Mkuu wa Chama cha siasa cha Sauti ya Umma (SAU ) Majalio Kyara akizungumza na Mtandao huu+ ofisini kwake Mgomeni Kagera jijini Dar es salaam. NA MUSSA KHALID DAR ES SALAAM Katibu Mkuu wa Chama cha siasa cha Sauti...
  8. Roving Journalist

    Uchaguzi 2020 Sauti ya Umma (SAU): Ilani ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani

    YALIYOMO; 1. UTANGULIZI 2. VIPAUMBELE VYA SERIKALI YA SAUTI YA UMMA(SAU) 3. AFYA 4. ELIMU 5. MAJI 6. KILIMO MIFUGO NA UVUVI 7. MALI ASILI 8. MIUNDO MBINU 9. VIWANDA NA BIASHARA 10. SANAA UTAMADUNI NA MICHEZO Kwanza Kabisa Nimshukuru Mwenyezi Mungu Kwa Kutuongoza Na Kutusimamia Katika Safari Na...
  9. Sauti ya Umma

    Uchaguzi 2020 Mzee wa kutokomeza Mwakasaka Donard atia timu jimbo la Ubungo

    HABARI, Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC mapema tarehe 25 Agosti 2020 ilimteua Ndugu MWAKASAKA BOAZ DONARD kuwa mgombea ubunge Jimbo la Ubungo kupitia Chama Cha Sauti ya Umma (SAU). Mwakasaka ni mtaalamu wa masuala ya Uchumi na Maendeleo ya kijamii ameahidi kutokomeza yote yaliyoshindikana katika...
  10. Sauti ya Umma

    Uchaguzi 2020 SAU kuweka wagombea wa Ubunge na Udiwani katika Majimbo na Kata zote Bara na Visiwani

    Chama cha Sauti ya Umma (SAU) kinakusudia kuweka wagombea katika majimbo na kata zote Tanzania Bara na Visiwani katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi oktoba 2020 (Mwaka huu). Katibu Mkuu wa chama hicho Ndugu Majalio Paul Kyara amesema bado milango iko wazi kwa wanachama...
  11. Sauti ya Umma

    Uchaguzi 2020 Aliyekuwa Mbunge wa Mwibara, Mutamwega Mgaywa apitishwa na Chama cha Sauti ya Umma (SAU) kugombea Urais

    Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Mwibara kwa kipindi cha miaka 10 mfululizo kuanzia mwaka 1995 hadi mwaka 2005 Mheshimiwa MUTAMWEGA MGAYWA amepitishwa kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Sauti ya Umma (SAU) katika Uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi octoba...
Back
Top Bottom