sayari ya mars

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. incognitoTz

    Elon Musk anataka majaribio ya Starship yafikie 25, mwaka 2025

    Elon Musk anataka SpaceX kuongeza majaribio ya kurusha roketi ya Starship kutoka mala 5, 2024 hadi 25 kwa mwaka 2025. Hata hivyo mpango huo wa kuongeza hiyo idadi unahitaji idhini ya FAA.FAA, Federal Aviation Administration ndio yenye mamlaka ya kutoa vibali vya kurusha roketi za kibiashara...
  2. enzo1988

    Huu ndiyo muonekano wa sayari ya Mars, kama Dunia yetu vile

    NASA wametoa picha mjongeo ya sayari ya Mars, yaani ni kama inafanana na dunia yetu, nahisi huko mbele kuna watu wataenda kuishi huko. Source: science.nasa.gov
  3. Mwande na Mndewa

    Wabunge 55 walioidai Tanganyika mwaka 1993 walikuwa Watanzania au walitoka sayari ya Mars?

    Hakuna bin-adam yeyote awe kiongozi ana raia asiyekua na mapungufu,viongozi wote walikuwa nayo uzuri ni kwamba walifanya mengi mazuri kuliko mabaya ndio maana tunakubali kwamba walikuwa the greatest,lakini mapungufu yao yapo na yanajadilika sana na yanafahamika sana,lakini leo 2024...
  4. Mukulu wa Bakulu

    Angalia picha ya Dunia ukiwa Sayari ya Mars

    Angalia Dunia ukiwa sayari ya Mars. Hii ni picha imechapishwa na NASA ikionyesha Dunia kutokea Mars.
  5. Mzawa_G

    Joto linahitajika katika sayari ya Mars

    Unaweza ukajiuliza sasa maswali mengi kwanini Jua linashindwa kuifikia sayari hii kwa wingi katika nyakati hizi tulizo nazo na nyakati zilizopita kidogo Ni wazi ili Mars iweze kuwa habitable tena ni lazima kuwepo na joto kubwa la mithiri ya hapa duniani ili liweze kutoa msaada wa mkubwa...
Back
Top Bottom