sedoyeka

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Stuxnet

    Shauri la Sekretariati ya Maadili vs Prof. Sedoyeka wa IAA: Natoa Ushauri wa Bure

    Rejea thread hii kwanza: Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma yawasilisha malalamiko kuhusu Prof. Eliamini M. Sedoyeka Pia soma majibu ya Prof. Sedoyeka hapa: Majibu ya Mkuu wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), Prof. Eliamini Sedoyeka mbele ya Baraza la Maadili Nina uzoefu wa masuala ya...
  2. Roving Journalist

    Majibu ya Mkuu wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), Prof. Eliamini Sedoyeka mbele ya Baraza la Maadili

    Mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Arusha (IAA), Prof. Eliamini Sedoyeka alisomewa mshtaka manne katika Baraza la Maadili kutokana na malalamiko manne ya kukiuka maadili ya Viongozi wa Umma ambapo ameyakana yote Kikao cha Baraza la Maadili liliketi chini ya Mwenyekiti wa Baraza, Jaji Mstaafu Rose...
  3. R

    Hongera Prof Sedoyeka, mafisadi wanapambana nawewe kwa kuziba mianya ya wizi na tenda zisizo na tija kwa Taifa. Vumilia

    Tulikuwa tunatafuta Kwanini Prof Sedoyeka amepelekwa tume ya maadili? Tulijiuliza kwanini tume imeweka habari yake kwenye vyombo vya habari? Tulijiuliza kwanini vyombo vya habari vinatoa promo kwenye kesi hizi? Kupata majibu imetuliazimu kufuatilia kazi alizofanya katika maeneo ambayo amewahi...
Back
Top Bottom